Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Tanzania tunahitaji dictator, mwenye nia ya maendeleo, ili wote tuingie kazini tuache malumbano na hoja ambazo kwa ujumla ni za kupoteza muda.
Tumpate wapi kiongozi dictator asiye na huruma hata kidogo kwa kiumbe yeyote wa Tanzania mwenye uwezo wa kufanya kazi anazembea. Asiye fanya kazi ahukumiwe kwenda jeshi la mafunzo akafanye kazi kwa lazima.
Mfumo wa Jeshi la mafunzo uwe na msisitizo wa kufanya kazi zote za maendeleo. Kila mtu ajitathimini ana mchango kiasi gani katika maendeleo yake na ya jamii inayomzunguka.
Huku kwenye JF yameandikwa mengi sana, hebu tuamue kufanya kazi kwa bidii na sio maneno mengi yanachosha.
Tumpate wapi kiongozi dictator asiye na huruma hata kidogo kwa kiumbe yeyote wa Tanzania mwenye uwezo wa kufanya kazi anazembea. Asiye fanya kazi ahukumiwe kwenda jeshi la mafunzo akafanye kazi kwa lazima.
Mfumo wa Jeshi la mafunzo uwe na msisitizo wa kufanya kazi zote za maendeleo. Kila mtu ajitathimini ana mchango kiasi gani katika maendeleo yake na ya jamii inayomzunguka.
Huku kwenye JF yameandikwa mengi sana, hebu tuamue kufanya kazi kwa bidii na sio maneno mengi yanachosha.