Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,745
Nakutana na mjinga mmoja ana kwambia wanasayansi waongo.
Ukifikiria huyu ana kwambia waongo ndio anatumia kifaa chao kuongelea ujinga.
Leo kuna watu wanabisha kuhusu taalamu na tafiti lakini ndio watuamiaji wa vifaa,teknolojia,wapokeaji wa huduma hiyo na n.k.
Tatizo liko wapi yani umepata elimu kisha unapinga elimu ni uongo.
Sasa ulisoma kufanya nini
Ukifikiria huyu ana kwambia waongo ndio anatumia kifaa chao kuongelea ujinga.
Leo kuna watu wanabisha kuhusu taalamu na tafiti lakini ndio watuamiaji wa vifaa,teknolojia,wapokeaji wa huduma hiyo na n.k.
Tatizo liko wapi yani umepata elimu kisha unapinga elimu ni uongo.
Sasa ulisoma kufanya nini