Tanzania says will not revoke any oil and gas PSAs

Nimekupata brother, so what is the sticking point? I know for sure kwamba hizi companies zitakuwa na interest with all the secrecy around the contracts, but ni nini wanachofaidi watanzania(viongozi) kwa kung'ang'ania usiri huu?? Au ndio mambo ya uswisi?

Moja ya Kampuni ambayo imegundua Gesi hapa nchini ilikuwa na local partner hapa nchini ambayo ni Kampuni ya CCM. Sehemu kubwa ya Fedha zilizofichwa Uswiss zinatokana na rushwa kwenye hii mikataba. Review ya kisirisiri inayofanywa na Serikali hiyo hiyo iliyoingia mikataba hii haiwezi kutuonyesha ukweli huu. Mikataba ikiwekwa wazi mengi ya haya tutayagundua. Uwazi ni silaha kubwa sana ya kupambana na rushwa
 
Moja ya Kampuni ambayo imegundua Gesi hapa nchini ilikuwa na local partner hapa nchini ambayo ni Kampuni ya CCM. Sehemu kubwa ya Fedha zilizofichwa Uswiss zinatokana na rushwa kwenye hii mikataba. Review ya kisirisiri inayofanywa na Serikali hiyo hiyo iliyoingia mikataba hii haiwezi kutuonyesha ukweli huu. Mikataba ikiwekwa wazi mengi ya haya tutayagundua. Uwazi ni silaha kubwa sana ya kupambana na rushwa

There you are. Meremeta part II!
 
Moja ya Kampuni ambayo imegundua Gesi hapa nchini ilikuwa na local partner hapa nchini ambayo ni Kampuni ya CCM. Sehemu kubwa ya Fedha zilizofichwa Uswiss zinatokana na rushwa kwenye hii mikataba. Review ya kisirisiri inayofanywa na Serikali hiyo hiyo iliyoingia mikataba hii haiwezi kutuonyesha ukweli huu. Mikataba ikiwekwa wazi mengi ya haya tutayagundua. Uwazi ni silaha kubwa sana ya kupambana na rushwa
Zito wewe huna pesa huko Uswis? Jibu YES or NO inatosha.
 
Moja ya Kampuni ambayo imegundua Gesi hapa nchini ilikuwa na local partner hapa nchini ambayo ni Kampuni ya CCM. Sehemu kubwa ya Fedha zilizofichwa Uswiss zinatokana na rushwa kwenye hii mikataba. Review ya kisirisiri inayofanywa na Serikali hiyo hiyo iliyoingia mikataba hii haiwezi kutuonyesha ukweli huu. Mikataba ikiwekwa wazi mengi ya haya tutayagundua. Uwazi ni silaha kubwa sana ya kupambana na rushwa

Tutayaona mengi mwaka huu.
 
This guy was a chairman of STAMICO when it was being sold to Mkapa and Yona. He approved the sale. He has no record of reforming. He never used utaalamu wake to support reforms in the mining sector. He was actually a consultant to mining companies including sutton resources

Duh! Kweli CCM hakuna MSAFI sasa sifa zote zile anazopewa katoa wapi?
 
There you are. Meremeta part II!

Na hata kama kuna madudu huko usije ukadhani kuwa CCM wataruhusu kufanyiwe ukaguzi ama hio transparecy anayoipigia kelele zito tutaisikia tu redion unless we kick out ccm in 2015 kumbe walaji wenyewe ndio wanaotuongoza na ndio wanaotunga sheria? tangu lini mtu akapigana na yeye mwenyewe?
Abunuasi!!!!!!!! Lets kick out ccm first that what i think.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Duh! Kweli CCM hakuna MSAFI sasa sifa zote zile anazopewa katoa wapi?

Tatizo mengi sisi tunakuwa hatuyajui na historia zao. Sasa watu kama kina zito wanaojua vitu wanakuwa buss sometime kwenye mambo ya kijamii huko mengine . so kina Nape wanakuja hapa wanatudanganya wanasifia watu wao na kuwamwagia umaarufu na sisi tunaswallow as it is kwa sababu we dont know more about them rather than hicho ambacho Nape na mamluki wake wanachotumezesha. But well inside ccm hakuna msafi na ndio maana tumefika hapa.
 
Zito wewe huna pesa huko Uswis? Jibu YES or NO inatosha.


Ha ha ha this must be a joke. Nitatoa wapi fedha za kuweka Uswiss? Sina bana. Kuna watu wenye chuki na mimi wameamua tu kuzusha suala hili ili kuziba hoja yangu ninayoipeleka Bungeni kuhusu mabilioni ya fedha zilizofichwa huko Uswiss. Nimefuatilia suala hili na mtafiti maarufu duniani kuhusu masuala haya ambaye alikuwa mbunge huko Afrika Kusini chini ya ANC. Mwezi Oktoba tunafanya mkutano wa pamoja kuieleza press suala hili kisha Bungeni napeleka hoja binafsi kutaka maazimio fulani fulani ya Bunge.

Nitasema tu. Suala hili sitaliacha. Nimelianza lazima nilimalize.
 
Moja ya Kampuni ambayo imegundua Gesi hapa nchini ilikuwa na local partner hapa nchini ambayo ni Kampuni ya CCM. Sehemu kubwa ya Fedha zilizofichwa Uswiss zinatokana na rushwa kwenye hii mikataba. Review ya kisirisiri inayofanywa na Serikali hiyo hiyo iliyoingia mikataba hii haiwezi kutuonyesha ukweli huu. Mikataba ikiwekwa wazi mengi ya haya tutayagundua. Uwazi ni silaha kubwa sana ya kupambana na rushwa

Hapa ndipo watu wanashindwa kuelewa na kuliona hili kwa jicho la tatu na kutambua kuwa, hizi review za mawaziri wa CCM ni uwongo mtupu. Na watu wasichojua ni kuwa, hii political stunt wanayotaka ni kuwapumbaza Watanzania, na hapo ndipo tutapigwa bao la kisigino, huku tukiwa tunashangilia mambo ya akina Prof, kule wanachota na 2015 tayari CCM itakuwa na mtaji mkubwa wa uchaguzi!
 
Zitto ni kweli kutakuwa na mtu anakuzushia na tumeshajua ni akina nani na wana makusudi gani kwani nakumbuka kama sikosei uliahidi kuwa serikali isipowataja wenye pesa huko lazima utakuja na majina kwenye bunge lijalo. Sasa hamadi tunakuja kuona eti na Zitto naye ana pesa huko. Ok asante kwa kuiweka hii kitu sawa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama hakuna mkataba utakaovunjwa review ya nini? Review hiyo ikikuta mikataba mibaya itaiacha tu? Huyu Waziri wa CCM alikurupuka tu.

The bottom line is how is the minister supposed to make the contracts public before he first gets himself acquanted with them?

He won't revoke contractors' rights? Well, he must have had his tongue in his cheek when saying that, he might as well have said so to just clear the air because in the event that there're discrepancies in the contracts, you bet, we won't remain complacent
 
This guy was a chairman of STAMICO when it was being sold to Mkapa and Yona. He approved the sale. He has no record of reforming. He never used utaalamu wake to support reforms in the mining sector. He was actually a consultant to mining companies including sutton resources

Oh WOW, ZITTO... Hapo kweli Transparency is all what is needed...

KWELI Katiba yetu inatakiwa Marekebisho ILI WAZIRI asiwe MBUNGE... ILA wakichaguliwa lazima wapate

kwanza kutingishwa na MAWAZIRI kabla ya hiyo Appointment... NDIO MAANA SIKUONA sababu ya AZIMIO LA ZANZIBAR

imetuletea hayo yate... Mkapa asingekuwa na NGUVU za kumiliki kila kitu kizuri nchini...

ZITTO, We as locals have been in the dark for long time we don't know what's going within the Government anymore...



 
ZZK, is there any lesson to learn from Mitt Romney's secret comment which he later came to realise he was filmed? It's on the news

I'm saying that cuz I ain't buying your stories and if it were to be true why not express it in a more effective way? Express it in your capacity as a parliamentarian not here with a guise!
 
Mnanijua! Ni nadra kwangu kumsifu Waziri wa CCM kwani sijaona lolote kutoka kwao la kumwondoa mama yangu kijijini kutoka kwenye umaskini ambao haupatikani duniani popote ila Tanzania tu na labda....Sudan ya Kusini! (Sasa, Sudan ya Kusini twaweza kuisamehe kwa hali iliyoipitia).
Isipokuwa matamshi ya Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo yamenipa angalau matumaini kidogo katika sekta ambayo hivi karibuni itakuwa mhimili mkubwa wa uchumi wa Tanzania. Na kama itatumika vizuri, angalau naweza kuota kuwa mwaka 2020 mama yangu kule kijijini ataweza kula milo mitatu kwa siku, na mmoja wapo ukiwa kuku wa kukaanga!
Ni kuhusu kuirejea tena mikataba ya gesi. Tanzania, kwa mara nyingine, inabarikiwa na nishati hii ambayo itayapiku hata mafuta kwa umuhimu wake. Kwa kifupi, kama linavyoelezea gazeti la Uingereza Daily Telegraph la tarehe 17/9: Tanzania flexes muscles over gas reserves - Telegraph
Waziri amekasirishwa sana na watendaji wake waliotoa kandarasi za mazabe na akaamuru gunia zima la hati za kandarasi hizo litupwe mbele yao waanze kuzirekebisha mara moja, kabla ya mkutano wake na makampuni makubwa hapo mwisho wa mwezi. Gazeti linanukuu Waziri huyo akifoka: "I can't tolerate agreements which are not in the country's interest but they benefit a few individuals," Yaani, siwezi kuvumilia makubaliano yanayowapa kula watu wachache tu na siyo kwa maslahi ya taifa.
Mara baada ya matamshi hayo, hisa za makampuni makubwa ya uchimbaji ya kikabaila kama Ophir na BG Group zikaporomoka vibaya katika masoko ya hisa ya Uingereza na Marekani.
Nasema, hongera Waziri, huu ndio uzalendo ulivyo. Sasa usiishie hapo, fukuza na funga wote waliobuni mikataba hiyo. (Mh, lakini naogopa.... kwa uzoefu wangu, DHAIFU ana marafiki tele katika makampuni hayo na huenda wakamrai! )
 
Ha ha ha this must be a joke. Nitatoa wapi fedha za kuweka Uswiss? Sina bana. Kuna watu wenye chuki na mimi wameamua tu kuzusha suala hili ili kuziba hoja yangu ninayoipeleka Bungeni kuhusu mabilioni ya fedha zilizofichwa huko Uswiss. Nimefuatilia suala hili na mtafiti maarufu duniani kuhusu masuala haya ambaye alikuwa mbunge huko Afrika Kusini chini ya ANC. Mwezi Oktoba tunafanya mkutano wa pamoja kuieleza press suala hili kisha Bungeni napeleka hoja binafsi kutaka maazimio fulani fulani ya Bunge.

Nitasema tu. Suala hili sitaliacha. Nimelianza lazima nilimalize.
taratibu naanza kumuona zitto wa buzwagi coming back to his senses...the street is watching broda
 
Ndio Kwanza naona mambo Kuanza!! Sasa Ile tume ya Jaji Bomani na akina Zito Ilifanya Kitu gani? Business as Usual?????
 
Hii mikataba ni mikataba kati ya Dola na Kampuni binafsi na sio kati ya kampuni na kampuni. Hivyo commercial terms hazipaswi kutumika maana one party to the contract is a sovereign state. Kabla sijaingia kwenye kamati ya Bomani niliamini hivyo kwamba hii mikataba ni siri. Nilipoishika nikaangalia kwanza kipengele cha usiri na sikukiona.

Hii mikataba inapaswa kuwa wazi maana ni mikataba inayohusu rasilimali za nchi. Inapaswa kufanana kulingana na mazingira ya mkataba.

Jambo la kufahamu ni kwamba, tofauti na mikataba ya madini ambapo 'mineral right' ni ya kampuni, mikataba ya gesi na mafuta 'rights' zinabakia kwa dola na kampuni za utafutaji na uchimbaji ni 'contractors' wa nchi. Baada ya kuondoa gharama za utafutaji na uchimbaji, mapato yote yanaobakia tunagawana kwa uwiano tuliokubaliana (Production sharing agreements). Ndio maana suala la ukaguzi wa gharama ni suala nyeti sana kwenye mikataba hii. Uwazi wa mikataba unaondoa rushwa na ufisadi. Uwazi unaondoa upendeleo kwa baadhi ya makampuni. Uwazi unatufanya tujue wahusika haswa wa makampuni haya ni kina nani?

Hivi unajuaje kama CCM au kampuni zinazomilikiwa na CCM ni wanahisa kwenye baadhi ya kampuni za utafutaji kama ambavyo ANC inafanya huko South Africa? Ili kujua ni kuweka misingi ya uwazi. Tupiganie uwazi wa mikataba
Mh. Zitto baada ya kumsoma waziri ktk maelezo yake hapa napata shida kuelewa anachotuambia sisi wananchi na kile anachojaribu kusema nje..Kusema kweli napata mashaka sana na dhamira yake au chama chake kama kweli wanataka kuhakikisha kwamba mikataba hii inawanufaisha wananchi maanake ukisoma mwanzo anawapa tumaini wawekezaji wasiogope lakini mwisho anagusia tunachotaka kufanya jambo ambalo linaonyesha uncertainty..

Pamoja na hayo wewe kama mbunge wa CDM unachotakiwa kupigia makelele ni SERA za Chama tawala sio mtu huyu..Idea zake zinasimamia sera za chama chake na ndio sababu kubwa ya mtafaruku wote huu. Hatukuwahi kufaidika na madini toka 1993 hivyo uwazi pekee hauwezi kutufikisha popote isipokuwa kukiondoa chama CCM madarakani.. Weka nguvu yako kubwa ktk kuhakikiisha CDM inachukua madaraka na hapo ndipo utakapopata nafasi ya kuonyesha uwezo wako..
 
toka ameteuliwa kuongoza hiyo wizara nasikia hizi sifa kwamba ni msomi mzuri na si mwanasiasa,yeye ni mtendaji zaidi! binafsi itanichukua muda sana kuamini hizo sifa! huwa simwamini mwana CCM yeyote hasa inapofika muda wa maslahi mapana ya Taifa!

Kweli kabisa, hata mimi nilianza kumwamini niliposoma gazeti la Uingereza Daily Telegraph. Siku ya pili kuja kusoma magazeti ya Bongo nikaona matamshi yake ameyabadilisha, kama alivyo comment correctly ndugu Zitto. Sasa amezidi kukita dhana katika kichwa changu kuwa hakuna CCM msafi, hata akiwa mjomba wangu. CCM wasafi washekufa!
 
Back
Top Bottom