Tanzania not happy with UK visa being processed in Nairobi

Kwani hili la visa nairobi ni jipya...mbona limeanza zaidi ya miaka 4 ilopita?

Hata ukitaka kwenda Netherlands visa inakuwa processed South Africa...nilidhani ni sababu ya financial crisis ilowakumba.

Kikubwa visa utapata kama una vigezo; ila usumbufu pekee ni lazima uwahi kwa kuwa inachukua muda zaidi

Sahihi kabisa!
Urasimu wa viza sio suala la ubaguzi, ni kupunguza matumizi.
Likewise, biashara siku hizi imehamia Middle East na Far East (Dubai, Singapore, Malaysia, China n.k.), kwa hio sio wafanyabiashara wengi wanaokwenda UK kwa shida hio, kwa sababu the same products zinapatika nchi hizo nilizotaja.
 
We need to use our resources wisely for respect to be given to People of Tanzania and the country. It is a shame that with all the resources available it looks like we have to look to UK for anything while in true sense they are scrumbling for TANZANIA FOR MOST OF THE THINGS THAT COUNT TO WEALTH... I agree that UK has advanced social services but we have the best that nature brings. It is unfortunantly our people feel prestige to live and go to UK (majuu) just because we have failed to develop our social services( schools,hospitals, roads etc) Despite that fact I belive the trafic of people is higher down stream( most people from UK visit Tanzania than the oposite). Lets process Tanzanian visas in France.
 
Kwani mnawanganganiza UK wafanye hivyo TZ kwa faida ya nani??? kama hawaoni tija serikali makini huchukua hatua sio aibu na kigugumizi. Hongera UK.

Haya!!!!!! yaani upinzani kwenye siasa unakufanya uichukie nchi yako.
 
Kusema kweli Tanzania na Watanzania kwa ujumla tumekuwa ni reactive creatures badala ya kuwa pro-active beings.Hatua ya Waingereza kuhamishia visa processing Kenya ichukuliwe kama wake-up call badala ya kuanza kulia lia kama watoto wadogo.Sasa hivi Tanzania imekuwa shaghalabagala nchi hata haieleweki.Miundombinu ya usafiri ni mibovu,miundombinu ya maji na maji taka ni ovyo,Miji yetu ni michafu,Kodi ni juu,Mfumuko wa bei ni hatari,Huduma za elimu na afya ni ovyo,Hali ya usalama nchini haueleweki,Ufisadi ni moto,Process na mazingira ya uwekezaji vinakatisha tamaa.Kwahiyo Wazungu hawaoni cha maana cha kufanya katika nchi isiyoeleweka kama hii kwahiyo hawawezi kupoteza hela zao bure kwa nchi kama yetu so wameamua ku-streamline shughuli za uendeshaji wa serikali zao kwa kuondoa baadhi ya shughuli za ubalozi wao hapa nchini kule Kenya.Kitu kitakachoendelea kuwaleta hapa ni rasilimali zetu basi.Watanzania tusipobadilika tutaendelea kupata shida sana.
 
Sikujua kuwa na wewe ni Mtanzania (samahani lakini)

Kusema kweli Tanzania na Watanzania kwa ujumla tumekuwa ni reactive creatures badala ya kuwa pro-active beings.Hatua ya Waingereza kuhamishia visa processing Kenya ichukuliwe kama wake-up call badala ya kuanza kulia lia kama watoto wadogo.Sasa hivi Tanzania imekuwa shaghalabagala nchi hata haieleweki.Miundombinu ya usafiri ni mibovu,miundombinu ya maji na maji taka ni ovyo,Miji yetu ni michafu,Kodi ni juu,Mfumuko wa bei ni hatari,Huduma za elimu na afya ni ovyo,Hali ya usalama nchini haueleweki,Ufisadi ni moto,Process na mazingira ya uwekezaji vinakatisha tamaa.Kwahiyo Wazungu hawaoni cha maana cha kufanya katika nchi isiyoeleweka kama hii kwahiyo hawawezi kupoteza hela zao bure kwa nchi kama yetu so wameamua ku-streamline shughuli za uendeshaji wa serikali zao kwa kuondoa baadhi ya shughuli za ubalozi wao hapa nchini kule Kenya.Kitu kitakachoendelea kuwaleta hapa ni rasilimali zetu basi.Watanzania tusipobadilika tutaendelea kupata shida sana.
 
Kanuni za kidiplomasia za reciprocity zingetaka na sisi tutake visa za watu wanaotokea Uingereza ziwe processed sehemu kama Ufaransa.

Lakini umaskini wetu unasababisha visa za bongo ziwe zinatolewa hata kwa njia ya posta tu.
 
Kanuni za kidiplomasia za reciprocity zingetaka na sisi tutake visa za watu wanaotokea Uingereza ziwe processed sehemu kama Ufaransa.

I like the idea. Kama ilivyo kwa Wafini kufuata viza zetu Sweden.
 
I like the idea. Kama ilivyo kwa Wafini kufuata viza zetu Sweden.

Wanazifuata kweli?

Mimi nishaona Mmarekani kapiga simu ubalozi wa Tanzania DC, kaulizia visa, ikawa yuko mbali na ana kazi zake.

Mwishowe nikamuuliza visa ulipata? Ilibidi uende DC?

Akaniambia wala sikuenda, nimeongea nao tu nikawatumia passport in the mail. Wamenipigia visa na kunirudishia poa tu.

Nikakumbuka jinsi Watanzania wanavyoteseka kupanga foleni ubalozi wa Marekani kutafuta visa.

Umasikini huu!
 
Halafu mnataka eti nirudishe passports zangu za Kenya na US ili nibaki na ya bongo? Hell naw!
Nitaendelea kuwa na zote 3

Mazee wewe hata dual citizenship haikutoshi.

Inabidi tuanze kuangalia habari za "trial citizenship" hapo.

Kabla hujaongeza passport katika roster lako la passport linaloenda kusheheni kama la "Carlos The Jackal"
 
Katika mambo yanayo humiliate Tanzania ni hili.la.visa za U.K. kuwa processed Kenya.

Hivi kuna umuhimu gani kwa sisi kuendelea kuwa ndani ya Jumuiya ya Madola kama vitu vidogo kama hivi bado hawawezi kuvifanyia hapa nchini?? So humiliating
 
Kuna jamaa alienda kuwabana ubalozi wa Marekani kuhusu hizi habari za Wamarekani ku recruit watu kutoka Tanzania, sorta like kuhakikisha kama kampuni ni legit au siyo.

Counselor ubalozini kashazoea kila siku watu wanakuja sana kuomba student visa na visa za kutembea, hakutegemea kama mbongo anaweza kuuliza maswali kama haya ubalozini.

Wakamzungusha zungusha pale, wakaitana itana, wakakosa majibu.

Ikabidi wamwambie kwamba swali lake linatakiwa kupelekwa Nairobi kwani ubalozi wa Dar hauna Labor attache.

Naona nchi nyingi za magharibi zinafanya Nairobi kuwa a notch higher than Tanzania. Australia nakumbuka walikuwa hawana ubalozi kabisa bongo, ukitaka kwenda Aussie inabidi kwenda Nairobi. Nafikiri bado ni hivyo.
 
I think Tanzania should do the same (retaliation) by processing VISA (not Even in Sweden or Germany) but should be in Japan so as they also see the hassle we are facing.
 
Mazee wewe hata dual citizenship haikutoshi.

Inabidi tuanze kuangalia habari za "trial citizenship" hapo.

Kabla hujaongeza passport katika roster lako la passport linaloenda kusheheni kama la "Carlos The Jackal"

Mkuu Kiranga hizi 3 zinanitosha. Hii ya US inanipa security ya kuingia any EU country na nchi nyingi dunia hii bila viza wala kero.
Infact nikiionyesha tu basi huwa napata heshima na sibugudhiwi sababu wanajua arrogance za wamarekani.
Hii ya Kenya ndio ninapoishi, na hii ya Tanzania huko ni kwetu
 
Mkuu Kiranga hizi 3 zinanitosha. Hii ya US inanipa security ya kuingia any EU country na nchi nyingi dunia hii bila viza wala kero.
Infact nikiionyesha tu basi huwa napata heshima na sibugudhiwi sababu wanajua arrogance za wamarekani.
Hii ya Kenya ndio ninapoishi, na hii ya Tanzania huko ni kwetu

Hahaha,

I like your swag.

The world is your oyster.

These medieval passports are going to be obsolete in the not so distant future anyway.

But in the meantime, swag on player.

Mimi nimekataa kuchukua pasi ya Mnyamwezi mwaka wa tisa huu sasa, moja ya vitu vilivyokuwa vinanipa kichwa ni national pride na kutaka kusubiri dual citizenship.

Lakini uzalendo unanishinda sasa naona naweza kukosa deal hivihivi.
 
Hahaha,

I like your swag.

The world is your oyster.

These medieval passports are going to be obsolete in the not so distant future anyway.

But in the meantime, swag on player.

Mimi nimekataa kuchukua pasi ya Mnyamwezi mwaka wa tisa huu sasa, moja ya vitu vilivyokuwa vinanipa kichwa ni national pride na kutaka kusubiri dual citizenship.

Lakini uzalendo unanishinda sasa naona naweza kukosa deal hivihivi.

we endelea kusubiri tu mkuu labda unataka kuingia kwenye politics. Nawashukuru sana Kenya na serkali yao kwa kuruhusu dual citizenship kwani wamenisaidia sana kubalance hii equation
 
Kwa sababu hamtaki kuhalalisha ---- za wanaume ziwe halali - gay business. Hizi ndio sanctions zenyewe msishangae
Mkuu kwani Kenya wamehalalisha ndoa ya jinsia moja? Wazungu wafike mahali watambue umuhimu wa kufanya kila kitu katika nchi husika tunao ubalozi kwa manufaa yepi si wahamie huko huko Nairobi! Huduma zote za balozi Nairobi ndege zote Nairobi wahamie huko wasituzingue bana.
 
we endelea kusubiri tu mkuu labda unataka kuingia kwenye politics. Nawashukuru sana Kenya na serkali yao kwa kuruhusu dual citizenship kwani wamenisaidia sana kubalance hii equation

Wewe nyang'au hata mambo ya nchi yetu Tanzania hutakiwi kujadili kama raia kwa sababu kuchukua viuraia vya nchi nyingine huko the more conservatives among us would hail you a traitor.

Hahahaha.

Speaking of politics kuna watu wamekuwa mawaziri, tena wa wizara nyeti, bongo huku wakiwa na uraia wa nchi za nje.
 
I think Tanzania should do the same (retaliation) by processing VISA (not Even in Sweden or Germany) but should be in Japan so as they also see the hassle we are facing.

Wabongo hatuwezi kufanya hivyo kwa sababu tunataka kuvutia watalii na wawekezaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom