ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Imefikia hatua Tanzania yetu nchi yenye mali nyingi na vivutio vya kitalii inaitwa shamba la bibi, cha kujiuliza kweli tumeamua kuiita hivyo? je unavyoimba wimbo wetu wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wotee ni unafiki tu? mimi binafsi naumia sana nikisikia kauli hii ila huwa sina pa kwenda kushitaki.