Bunge la kishabiki,mahakama hazitendi haki! Serikali ndio hivyo tena hadi bandari ambayo ni moyo wa uchumi inaenda kumilikishwa Kwa wageni! Mgao wa umeme! Fuel bei juu! Watoto wetu wanateseka kwa kukosa bima za matibabu. Kubambikiwa kesi polisi! Hospitalini hakuna madawa! Wamasai wanafukuzwa kwenye ardhi ya urithi wao. Wanyamapori wanabebwa na ndege kuhamishiwa Kwa wageni n.k Hiyo furaha otatoka wapi. Furaha yetu ni madhabahuni Kwa Mungu wa mbinguni pekee tunapokwenda kumsifu na kumuabudu na ndipo tumaini letu lilipo.Leo katika pita pita zangu mitandaoni, nikakutana na post ikionyesha kwamba tanzania ni moja ya nchi zisizo na furaha duniani.
Hivi hawa wachambuzi wanatazama nini hasa mpaka wanatoa hizi takwimu?
View attachment 2763335
Wanaccm tu ndio wenye furaha.Leo katika pita pita zangu mitandaoni, nikakutana na post ikionyesha kwamba tanzania ni moja ya nchi zisizo na furaha duniani.
Hivi hawa wachambuzi wanatazama nini hasa mpaka wanatoa hizi takwimu?
View attachment 2763335
Mmeibiwa kura?😆😆Wametukosea sana hiyo rank sio sahihi mi naona tuko top 5 maana raia hatuna furaha yoyote kukaa gizani huku unalipa tozo na Kodi unakuwa na hasira sana! Hii sirikali ni dhalimu au tuseme imeshindwa kazi
Kweli kabisa. Changamoto zote hizo kweli wanataka tuwe na furaha tukifurahia nini? Kila kitu kiko ziiii, halafu tunaambiwa tuwe na furaha ?!Umeme hapa hakuna tangu asubuhi,tutakosa kununa?Hasira,,unfuraha na karaha?Maji pia hakuna,bandari,bungeni posho wanajiongezea,mikopo chuo changamoto,dollar adimu,petrol bei juu,vifurushi,gharama za maisha,,CCM,tuna sababu million za kukosa furaha
Umepiga kwenye mshonoUmeme hapa hakuna tangu asubuhi,tutakosa kununa?Hasira,,unfuraha na karaha?Maji pia hakuna,bandari,bungeni posho wanajiongezea,mikopo chuo changamoto,dollar adimu,petrol bei juu,vifurushi,gharama za maisha,,CCM,tuna sababu million za kukosa furaha
Eti top3 kijana hivi ushawai hata kumiliki passport & VISA angalau uvuke mipaka utembee huko dunian ujionee hali za wananchi wa nchi zingine zinavyotisha kwa kukosa usalama, chakula na unafuu wa maisha?Wametukosea sana hiyo rank sio sahihi mi naona tuko top 3 maana raia hatuna furaha yoyote kukaa gizani huku unalipa tozo na kodi unakuwa na hasira sana! Vijana hawana ajira , sekta binafsi haiboreshwi, bandari Mali ya waarabu, katiba mbovu, dollar hakuna, raia maskini , wabunge matajiri!
Hii sirikali hakika ni ya kidhalimu au tuseme imeshindwa kazi
Nchi imeuzwa, furaha itoke wapi?Leo katika pita pita zangu mitandaoni, nikakutana na post ikionyesha kwamba tanzania ni moja ya nchi zisizo na furaha duniani.
Hivi hawa wachambuzi wanatazama nini hasa mpaka wanatoa hizi takwimu?
View attachment 2763335