Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
wadau hii mechi kati ya stars na waswazi inachezwa saa ngapi na channel gani wataonyesha.
Yaani hamna hata anayelizungumzia
wadau hii mechi kati ya stars na waswazi inachezwa saa ngapi na channel gani wataonyesha.
Yaani hamna hata anayelizungumzia
Matokeo jaman ya stars yanahitajika huku
Tumefungwa na Madagascar 2-0 TFF mpo mme relax Kocha kafika kikomo hana mawazo mbadala
Sijui kama hawa viongozi nao wanasikia aibu kama tunayosikia sisi wengine ambao tunaona madudu yayofanyika yani utafikiri kocha anafanya makusudi ili kukatiza mkataba wake jana nilisikianwatangazaji wa super sport wakicheka sana baada yakuona sub iliyofanywa nafikiri alitolewa ngasa akaingizwa abubakari salum watangazaji walijichekea sanaa nilifedheeka lakini ndio hivyo hakuna jinsi nalaumu chaguo la koch a watu kama kina kessy ,isiaka walikuwa sio wakuachwa ni mabeck visick mkude pia si dhani kama kocha anafaa kumkabidhi timu kwaajili ya mashindano mengine
tatizo watanzania tumejaaa usiasa ndomaana tunamlahumu kocha na TFF kitu ambacho hakipo dunia ya nchi zenye dira ya mafanikio makubwa mbele kwa upande wangu nampongeza kocha anavyozid kuwapatia vijana wadogo nafasi za kuiwakilisha nchi yetu ili kuwajengea umahili mkubwa .