Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Basket ya Tanzania katika kupata akili fresh Nilipokuwa mdogo Enzi hizo Upanga kulikuwa na Mtu mmoja aliyenifnya niweze kuupenda hu mchezo na huyo sio Mwingine Ni Mr Hunta(R.IP)
huyu alikuwa jirani yetu na kwa kumfahamu zaidi alikuwa mtu mpole na rafiki wa kila lika hata sie watoto alitupenda Upanga yeye alikuwa anaishi na Bibi yake ambaye alikuwa anatuuzia sie Ubuyu wa Unga maembe , mabungo karanga n.k tena kwa sent tano hadi ishirini miaka ikienda bei inakuja juu hadi mwisho ilikuwa Shilingi.
Kwa upendo tulianza kushangaa kutopatikana mida ya Jioni huku akiwepo kunakuwa na marafiki wengine wakubwa kuja kufuatilia kumbe alikuwa ni Mcheza kikapu hodari, tena mwenye Shabaha pindi hizo sie ndio tulikuwatunaita(Tukimaanisha Good Shooter) basi akiwa anachezea timu yake ya Shule Ya Kinondoni uwanja wa Zanaki ulikuwa unajaa Sana kumtizama Hanta akiwa amefunga usongo kichwani na mkononi Bonge la Blazamen. Mtaani kila mtu akawa anapenda huo mchezo awe kama Hanta..
Ukienda Mitaa ya Gymkhana Utakuta Uwanja wa Basketball Mzuri Kulikuwa na Timu ya Pazi Pale Utawakuta makocha kina Seleh Zonga na Abdallah Wakicheza na Kufundisha.
Timu Kongwe ya Pazi iliyotamba miaka mingi na kuja kumaliza utawala wake miaka ya 1990 na 2000 hadi mwaka 2011 haijaweza Kutwaa kikombe kikubwa..Kazeni Buti Na hiyo ni baada ya Basketball ya Africa Kuja juu so Wachezaji wake wengi walianza kukimbia kutafuta maslai nje tena kikubwa ni baada ya Mfadhili wake Mkuu Bwana Malai kuyumba kiuchumi kashfa za hapa na Pale Pole zake sana Mzee Malai Tunakuombea Mambo yanyooke tena tupate Burudani..
Nikiwakumbuka kina Tambwe Jibaba lenye Nguvu (Zaire) alipoteza uhai wake huko South Africa R.I.P.)
Edson mkali wa Kudunda na Kupenetrate popote pale Ulitisha Mkuu.. Dorii(Nima?)hakusahau. japo na wewe huwezi msahau, Papii, Jenga, Atiki, Paul(Mzungu Point 5) Fanaka Tulla(Aluta)...... Tatizo lako pindi zile ulikuwa Blazamen sana na Asingekubania Mbamba(R.I.P) Ungekuwa Juu sana uliacha Historia kupigwa Life Ban la kucheza Basketball ndani na Nje Si Mchezo
Timu ya Vijana City Bulls Nayo haikuwa Nyuma Kutoa Wachezaji wakali na waliotamba Muda Mrefu na wa Muda Mfupi Historia zao Nitazifuatilia na kuziweka humu kwa Sasa natoa nazozijua tu Hawa kina Jakson kalikumtima wanazijua haswa sipo nao kwani ni wa zamani sana nadhani wakipita humu wataweka sawa historia au Manase ... ...Nakumbuka tu Wachezaji wa miaka ya 1990 kuja juu Oba ukiacha kaka zake Ionnocent nae ukiacha kaka zake Mkali Deo.( Huyu alikuwa Ni Noma Kacheza na Hanta) wengine nawakumbuka kwa Sura tu Kina Roti Cheyo mpaka sasa anapiga msuli Vijana Ramadhani Abdallah (Dullah Mpemba) Alikuwa Mvp mala kadhaa hadi kuwa Mchezaji bora wa mwaka Tanzania Congrats, Ally Mnyamani Kwa Sasa Kahamia Moja kwa Moja Savio(Zamani Don Bosco) na bado anacheza lol Yasin (Jump Around) hehe alikuwa na Manjonjo akishafunga ana jump around Raha tupu, Bahati Mgunda Mzee wa Tatu Kocha hadi Sasa wa National Team na Vijana City Bulls Pia ni Teacher Shule ya IST Hongera Mkuu Muddy Mbwana(kakimbilia Chang'ombe.Rahim Kipingu, Paul(Kubwaa) na wengine wengi duh kuwamaliza ni issue
Don Bosco Kituo cha Watoto wa Wahindi wa Goa Kimechangia Sana kukuza Basketball Tanzania kilifanikiwa kutengeneza timu ya Watoto hadi ikaja kuwa makini na hatari kuzalisha wachezaji wakali sana Dorii Nima (Utege) ...Peter Bategeki huyu ni Balaa Ufungaji nadhani kila ligi alizoshiriki hadi mwisho alikuwa anaongoza lol Mukolo Ngoi (Huyu alikuwa mkali wa Block na kudank Shooting na Three point no no no! Jije Good Job Kijana Matunda Mazuri ya Don Bosco, Tozzi Ismail Ghulamalikuwa nafurahisha kwa Dank zake ambazo akiwa peke yake
Timu za Jeshi Nazipa Pongezi Kubwa Sana Kwani Wamejitutumua kutoka Mbali hadi kuja kushika Hatamukwani Miaka ya Nyuma waliipa nafasi Michezo ila wachezaji walikuwa wanawaangusha sio hawakuweza ila mchezo huu ukijifunzia ukubwani unahitaji time kuwa mkali Game walizokuwa wakicheza zilikuwa nzuri tatizo lao lilikuwa kwenye Score wakawa wanabaki down sana makocha walipoumia wakakaa chini na kutafuta mbinu wakafaulu japo walianza na mbinu chafu za kuumiza wachazaji wapinzani faul za wazi wazi Japo hiki kama bado Mnacho punguzeni Nguvu Wazee mnamaliza wachezaji
DSM outsider hii timu ndio iliyomtoa Hasheem Thabeet baada ya wachezaji wengi wa Makongo kuwa wanacheza sana na hawa Watu wa Maeneo ya udsm Claudio naye kachezea sana hapo
huyu alikuwa jirani yetu na kwa kumfahamu zaidi alikuwa mtu mpole na rafiki wa kila lika hata sie watoto alitupenda Upanga yeye alikuwa anaishi na Bibi yake ambaye alikuwa anatuuzia sie Ubuyu wa Unga maembe , mabungo karanga n.k tena kwa sent tano hadi ishirini miaka ikienda bei inakuja juu hadi mwisho ilikuwa Shilingi.
Kwa upendo tulianza kushangaa kutopatikana mida ya Jioni huku akiwepo kunakuwa na marafiki wengine wakubwa kuja kufuatilia kumbe alikuwa ni Mcheza kikapu hodari, tena mwenye Shabaha pindi hizo sie ndio tulikuwatunaita(Tukimaanisha Good Shooter) basi akiwa anachezea timu yake ya Shule Ya Kinondoni uwanja wa Zanaki ulikuwa unajaa Sana kumtizama Hanta akiwa amefunga usongo kichwani na mkononi Bonge la Blazamen. Mtaani kila mtu akawa anapenda huo mchezo awe kama Hanta..
Ukienda Mitaa ya Gymkhana Utakuta Uwanja wa Basketball Mzuri Kulikuwa na Timu ya Pazi Pale Utawakuta makocha kina Seleh Zonga na Abdallah Wakicheza na Kufundisha.
Timu Kongwe ya Pazi iliyotamba miaka mingi na kuja kumaliza utawala wake miaka ya 1990 na 2000 hadi mwaka 2011 haijaweza Kutwaa kikombe kikubwa..Kazeni Buti Na hiyo ni baada ya Basketball ya Africa Kuja juu so Wachezaji wake wengi walianza kukimbia kutafuta maslai nje tena kikubwa ni baada ya Mfadhili wake Mkuu Bwana Malai kuyumba kiuchumi kashfa za hapa na Pale Pole zake sana Mzee Malai Tunakuombea Mambo yanyooke tena tupate Burudani..
Nikiwakumbuka kina Tambwe Jibaba lenye Nguvu (Zaire) alipoteza uhai wake huko South Africa R.I.P.)
Edson mkali wa Kudunda na Kupenetrate popote pale Ulitisha Mkuu.. Dorii(Nima?)hakusahau. japo na wewe huwezi msahau, Papii, Jenga, Atiki, Paul(Mzungu Point 5) Fanaka Tulla(Aluta)...... Tatizo lako pindi zile ulikuwa Blazamen sana na Asingekubania Mbamba(R.I.P) Ungekuwa Juu sana uliacha Historia kupigwa Life Ban la kucheza Basketball ndani na Nje Si Mchezo
Timu ya Vijana City Bulls Nayo haikuwa Nyuma Kutoa Wachezaji wakali na waliotamba Muda Mrefu na wa Muda Mfupi Historia zao Nitazifuatilia na kuziweka humu kwa Sasa natoa nazozijua tu Hawa kina Jakson kalikumtima wanazijua haswa sipo nao kwani ni wa zamani sana nadhani wakipita humu wataweka sawa historia au Manase ... ...Nakumbuka tu Wachezaji wa miaka ya 1990 kuja juu Oba ukiacha kaka zake Ionnocent nae ukiacha kaka zake Mkali Deo.( Huyu alikuwa Ni Noma Kacheza na Hanta) wengine nawakumbuka kwa Sura tu Kina Roti Cheyo mpaka sasa anapiga msuli Vijana Ramadhani Abdallah (Dullah Mpemba) Alikuwa Mvp mala kadhaa hadi kuwa Mchezaji bora wa mwaka Tanzania Congrats, Ally Mnyamani Kwa Sasa Kahamia Moja kwa Moja Savio(Zamani Don Bosco) na bado anacheza lol Yasin (Jump Around) hehe alikuwa na Manjonjo akishafunga ana jump around Raha tupu, Bahati Mgunda Mzee wa Tatu Kocha hadi Sasa wa National Team na Vijana City Bulls Pia ni Teacher Shule ya IST Hongera Mkuu Muddy Mbwana(kakimbilia Chang'ombe.Rahim Kipingu, Paul(Kubwaa) na wengine wengi duh kuwamaliza ni issue
Don Bosco Kituo cha Watoto wa Wahindi wa Goa Kimechangia Sana kukuza Basketball Tanzania kilifanikiwa kutengeneza timu ya Watoto hadi ikaja kuwa makini na hatari kuzalisha wachezaji wakali sana Dorii Nima (Utege) ...Peter Bategeki huyu ni Balaa Ufungaji nadhani kila ligi alizoshiriki hadi mwisho alikuwa anaongoza lol Mukolo Ngoi (Huyu alikuwa mkali wa Block na kudank Shooting na Three point no no no! Jije Good Job Kijana Matunda Mazuri ya Don Bosco, Tozzi Ismail Ghulamalikuwa nafurahisha kwa Dank zake ambazo akiwa peke yake
Timu za Jeshi Nazipa Pongezi Kubwa Sana Kwani Wamejitutumua kutoka Mbali hadi kuja kushika Hatamukwani Miaka ya Nyuma waliipa nafasi Michezo ila wachezaji walikuwa wanawaangusha sio hawakuweza ila mchezo huu ukijifunzia ukubwani unahitaji time kuwa mkali Game walizokuwa wakicheza zilikuwa nzuri tatizo lao lilikuwa kwenye Score wakawa wanabaki down sana makocha walipoumia wakakaa chini na kutafuta mbinu wakafaulu japo walianza na mbinu chafu za kuumiza wachazaji wapinzani faul za wazi wazi Japo hiki kama bado Mnacho punguzeni Nguvu Wazee mnamaliza wachezaji
DSM outsider hii timu ndio iliyomtoa Hasheem Thabeet baada ya wachezaji wengi wa Makongo kuwa wanacheza sana na hawa Watu wa Maeneo ya udsm Claudio naye kachezea sana hapo