Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,052
- 71,361
Israel .
Utashangaa kesho Tanzania inautambua Mji wa yelusalemi kua mji mkuu wa israel
Utashangaa kesho Tanzania inautambua Mji wa yelusalemi kua mji mkuu wa israel
wayahudi hawali kiti moto nduguNasikia wameleta meli imejaa kitimoto
Sasa mkuu Israel kujua silaha za Tanzania zilipohifadhiwa inawasaidia nini hasa wao.Na kweli. Nasikia hata makomandoo wetu wakienda kusoma huko kwao, wanapewa assigment, swali linataka ueelezee labda silaha zetu zilipohifadhiwa, basi hapo mwanajeshi wetu anajikunja, anaelezeeeea, utapita hapa, ushuke vile, uende kushoto kisha urudi kulia, mmmmh! (si anatafuta maksi ufaulu). Kwa hiyo wale wazungu wanakuwa tayari wameshajua kila kitu kilipo
Ili watu wajifunze kwako lazima uwe na teknolojia ambayo watu hawana, sasa sisi sijui tuna teknolojia gani ambayo watu hawana, au unamaanisha waje kujifunza hizi blah blah blah na uganga wa kienyeji???
Ili watu wajifunze kwako lazima uwe na teknolojia ambayo watu hawana, sasa sisi sijui tuna teknolojia gani ambayo watu hawana, au unamaanisha waje kujifunza hizi blah blah blah na uganga wa kienyeji???
ohh hiyo ni habari nzuri.hawa jamaa huko nyuma walikuwa marafiki zetu wakubwa sana si tu waliweza kutusaidia kijeshi pia hata maswala ya mambo ya vyama vya ushirika.Watalaamu wengi wa ushirika walikuwa wanapewa mafunzo ya uendeshaji wa vyama vya ushirika huko israel.So kurudisha uhusiano huo kutakuwa na faida kubwa kwa watalaamu wetu.waisrael ni watu walioendelea sana katk nyanja mbambali hivyo ni fursa kwetu kuitumia nafasi hii kwa ustawi wa nchi na watu wetu pia.Nasikia wameleta meli imejaa kitimoto
Huo ndio unafiki usiotakiwa. Israel Capital ni Mji Mtukufu wa Jerusalem; ubalozi ukafunguliwe kule kule sambamba na ule wa US unaotarajiwa kuhamishiwa huko na Trump.....
Tanzania has since established a fully-fledged embassy and ambassadorial presence in the Israeli capital Tel Aviv.
...
Bila shaka watajifunza jinsi ya kununua wapinzaniTuko vizuri pia.
Kuna wanayojifunza kwetu mengi tu.
Acha uzushi; Israel kiti moto ni haramu ya kutupa. Ni rahisi nguruwe kuliwa Saudia kuliko kukanyaga katika ardhi takatifu.Nasikia wameleta meli imejaa kitimoto
ndo lengo lao hasaaa wale jamaa wako na akili sana!!Israel .
Utashangaa kesho Tanzania inautambua Mji wa yelusalemi kua mji mkuu wa israel
Informer kwa ukanda huu wa East Africa??
Kuna kauli moja huwa inazunguka kwenye intelligence cycles kuwa, ukitaka kuishi vizuri eneo la maziwa makuu, basi jipenyeze Tanzania.
Naona Mossad wamelijua hilo, ndio maana wamekuja.
Hii ni dunia ya maslahi, kila mtu anavutia upande wake.myahudi hana lolote zaidi ya kuongeza vyanzo vya taarifa tuu ili awe na update za kutosha ukanda wa e.a na maziwa makuu.. ili wakabiliane vyema na matishio ya maslahi ya bwana mkbw US...
SIO VIBAYA WAKIUTAMBUA MJI MKUU WAO KWETU HAINA IMPACT LABDA KWA UPANDE WAKOIsrael .
Utashangaa kesho Tanzania inautambua Mji wa yelusalemi kua mji mkuu wa israel
he he he heWatatusaidia sana kutuletea bunduki zao nzuri za UZI Machine gun.
In return wao wanaongeza wigo wa coverege yao kiinteligensia na
kuweka backdoor zao mbalimbali