Mwakifulefule
Member
- Nov 24, 2010
- 6
- 1
Kwa huu mfumo wa Serikali yetu kuwapa Wageni kumiliki ardhi nadhani tunaitafuta Zimbabwe mpya kwani kuna siku wananchi sanasana wanafunzi wanaomaliza vyuo na kukosa kazi watakuja kuwatimu hao wageni...lakini pia najiuliza ina maana watz hatuwezi hata kulima mpaka tuwape wageni ..je tunaweza nini sasa?