jokaKuu,
Wakati wa mjerumani sina hakika mpaka ulipita wapi. Naona waliotuchezea ni Waingereza. Walisema hili Nyasaland wakisema tofauti Tanganyika. Na balozi Tsere anaonekana laid back bila wasiwasi kwamba suala hili litapatiwa ufumbuzi. Let us hope he is right.
Jasusi,
..tusubiri tuone. but we better have the facts to back our claims. vinginevyo tunaweza kulia kilio cha kusaga meno.