lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Habari wanajamvi.
Katika pitapita zangu nimekutana na hili tangazo kutoka Jeshi la Ulinzi na Usalama Tanzania (TPDF) na limeniacha na maswali kadhaa. Naombeni mwenye fikira kama zangu aungane name au mwenye fikira tofauti atupe mwanga wa ni nini kinahusiana na tangazo hili.
1. Je yewezekana jeshi la polisi limeshindwa kazi?
2. Je, nchi inaweza kuingia katika hali ya hatari wakati wowote kuanzia sasa?
3. Je, yawezekana utawala wa demokrasia Tanzania umeshindwa?
4. Au tutegemea nini kama nchi!!
Kwa heshima na taadhima nawasilisha
Katika pitapita zangu nimekutana na hili tangazo kutoka Jeshi la Ulinzi na Usalama Tanzania (TPDF) na limeniacha na maswali kadhaa. Naombeni mwenye fikira kama zangu aungane name au mwenye fikira tofauti atupe mwanga wa ni nini kinahusiana na tangazo hili.
1. Je yewezekana jeshi la polisi limeshindwa kazi?
2. Je, nchi inaweza kuingia katika hali ya hatari wakati wowote kuanzia sasa?
3. Je, yawezekana utawala wa demokrasia Tanzania umeshindwa?
4. Au tutegemea nini kama nchi!!
Kwa heshima na taadhima nawasilisha