imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,044
Hahahahaa!! Ama kweli mzee jakaya anacheka sana huko aliko.Apewe maji huyo anywe atue roho.
Hahahahaa!! Ama kweli mzee jakaya anacheka sana huko aliko.Apewe maji huyo anywe atue roho.
Wewe usiwe mwepesi wa kuandika bila kutafakari.Mimi hua najiuliza,if it only needed determination, why did we fail to do this for the past 50 years.Hivi marais waliopita wanajisikiaje?Shameful indeed.
Yaani wewe ulivyoandika ndio umetafakari?Anyway,najua nilichoandika hukipendi ndio maana unaona nimeandika bila kutafakari.Wewe usiwe mwepesi wa kuandika bila kutafakari.
Bado watabeza na kupayuka kwamba mibombadia mibaya haina hata mapanga...Afu hizo Bombardier zinazokuja hazina mapanga sijui watasemaje hawa watu
Haya ndio maendeleo hongera JPM changamoto ndogo ndogo zisikukatishe tamaaBaada ya ujio wa Boeing Dreamliner 787, sasa Novemba mwaka huu tutapokea ndege nyingine mbili aina ya Bombardier C Series zenye uwezo wa kuchukua abiria 132 kila moja na Januari, 2020 tutaleta Boeing Dreamliner nyingine.
Ahahahhahahah mkuu uwezi zuia mtu kusema muhimu JPM apige kazi tuBado watabeza na kupayuka kwamba mibombadia mibaya haina hata mapanga...
Hali ni mbaya mnooooo kwa wapinga maendeleo na vibaraka hapa nchini.
#NogeshaJPM
Yeah airbus walinunua shares.Bombardier CSeries project sasa ipo chini ya Airbus na badala ya kuitwa CS300 sasa inaitwa A220-300.
BOMBARDIER | News and Discussions - Page 37 - SkyscraperCity
Si lazima upande ww. Wapo wanaojiwezaMwanza Bukoba 300,000/- afu bado tunakenua eti ndege za wanyonge....
Kwahiyo sio za wanyonge kama mnavyojinadiSi lazima upande ww. Wapo wanaojiweza
There you are brother, this is why most of the intellectuals remains poor all their life because hawaamini katika kujaribu biashara, hufikiria aibu watakayo pata baada ya ku fail.If u expect to fail you will definately fail.
Hata wazazi wengine huwa wanamaliza mshahara kwa uleviMimi hua najiuliza,if it only needed determination, why did we fail to do this for the past 50 years.Hivi marais waliopita wanajisikiaje?Shameful indeed.