Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Ninajua kuwa mnajua kuna serikali ya muungano na ile ya zanzibar. Lakini wabunge wetu bungeni kila wanapotoa mada utawasikia wanasema, na ninawanukuu...
Hitimisho: kuna serikali ya muungano, serikali ya znz na serikali ya CCM, maana hata spika hajawi kumhoji mbunge hiyo serikali ya CCm iko wapi?
Wakuu naomba kuwakilisha
- huu ni umahiri wa serikali ya CCM
- napenda kuipongeza serikali ya CCM
- serikali ya CCm inajali matatizo ya wananchi wake
- nk
Hitimisho: kuna serikali ya muungano, serikali ya znz na serikali ya CCM, maana hata spika hajawi kumhoji mbunge hiyo serikali ya CCm iko wapi?
Wakuu naomba kuwakilisha