King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,631
Wadau jana nilimsikia kiongozi wa serikali(sijamkariri jina) alisema kwamba tanzania imekua kiuchumi kwa 7% na kuizidi south Africa ambayo ina 6.3%,Je wanauchumi hii kitu ni kweli au changa la macho?
Nawasilisha.
Nawasilisha.