Tanzania kugundua chanjo ya UKIMWI

huu ni ujanja mwingine wa kisayansi kama kile kikombe cha babu wa loliondo.
 
Well done Tanzanian Scientists...

Well done... It can be done ... and if successful the Country will make a lot of $$

Dola zenyewe zitaishia mikononi mwa watu wachache kama ilivyo rasilimali zetu sasa
 
Dr. we ukweli, kusema kweli umenichekesha sana! Yaani wewe umetazama koote ukaona chenye gamba ni CCM tu na siyo samaki, nyoka, nk!

Hao siwanazo za asili, ccm ni artificial na ndo wao peke yao wana artificial
 
Yameisha ya babu sasa wanasayans tena jaribio lenyewe kwenye miili ya watanzania mbona kazi tunayo mwaka huu. Majibu ya watu 20
walokunywa dawa ya babu majibu wameshindwa kutoa wanataka kutujaribu na nyingine lo tz!
 
wakati utafiti ukiendelea ni bora na hizo chanjo zikawafikia waathirika kupunguza madhara manake kusubiri aka 5, damage itakuwa kubwa
 
Kwa ushauri kuna haja ya watafiti wa kitanzania na hasa KCMC kuwa careful about their intellectual property protection. Isije dawa ikapatikana hapa, patent ikaenda kwa wamarekani. I know we don't care about that, but it the great asset. Kuna vyuo vya kiafrika vimeengage into prtneship in doing research ikipatikana patent-foreigners wanawawahi. Just Angalizo
 
hakunaga kitu kama dawa ya ukimwi...


Ngoma mbona inatibika fresh tena kwa dawa za kienyeji tu?Mwenye laki 3 ani PM nimpe mwongozo.Mtaalamu yupo hapa Mkoani Geita kata ya nzera,jina lake na kijiji nalihifadhi.Hiyo hela hunipatii mie ila ndo gharama ya matibabu.
 
Ngoma mbona inatibika fresh tena kwa dawa za kienyeji tu?Mwenye laki 3 ani PM nimpe mwongozo.Mtaalamu yupo hapa Mkoani Geita kata ya nzera,jina lake na kijiji nalihifadhi.Hiyo hela hunipatii mie ila ndo gharama ya matibabu.
Huo si uungwana. Eti mpaka mtu aku-pm. Kama una nia kweli ya kusaidia mwaga data watu waende kwenye matibabu na siyo kuweka masharti.
 
Tatizo huu utafiti unafanyika kwa kuangalia maslahi ya kiuchumi wa watu walioendelea na hauko huru kiivo ndo mana kila siku time frame inaongezeka i.e from 5 to 7 years ili kukamilika.
My take kama yote hapo juu yasingekuwepo tungekuwa na tiba/kinga mda huu.
Source Mwananchi
 
Updates zake zikoje, naona mwaka wa saba sasa au ilishapatikana?
 
Ngoma mbona inatibika fresh tena kwa dawa za kienyeji tu?Mwenye laki 3 ani PM nimpe mwongozo.Mtaalamu yupo hapa Mkoani Geita kata ya nzera,jina lake na kijiji nalihifadhi.Hiyo hela hunipatii mie ila ndo gharama ya matibabu.
Waganga wenyewe wakisikia mteja wao anataka kutibiwa ukimwi wanatoa nacho pimaa, wanakuambia ata usisogelee zuria lake ukisogelea anakimbia mpaka anaangusha kaniki aliyoivaa kiunoni.
 
Hii chanjo bado haijapat muafaka kuna mwaka c nilisikia kua wanajeshi wanapew chanjo izo kama test
 
Back
Top Bottom