Nimemsikia Naibu Waziri Mahanga katika Redio Uhuru (Utumwa?) akidai eti kuna Watanzania milioni 22 walio na ajira na kuwa wanaosema kinyume cha hivyo hawakipendi chama chake cha CCM na ni wazushi? Namuuliza Mheshimiwa je ana utafiti uliofanywa na wataalamu wa amambo ya uchumi na ajira ili niwasome na mimi nifanyie kazi matamshi yake?