Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Aug 28, 2011 #21 Dhuluma za CCM leo zina mwisho. Hata wakoloni walitufanyia mambo mengi at the end waliondoka. Tushikamaneili tuweze kumuondoa huyu mkoloni (CCM)
Dhuluma za CCM leo zina mwisho. Hata wakoloni walitufanyia mambo mengi at the end waliondoka. Tushikamaneili tuweze kumuondoa huyu mkoloni (CCM)
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,883 109,211 Aug 28, 2011 #22 Hayo yote uliyoyaandika yanapatikana peoni tu. Si Tanzania wala si hapa duniani! Niambie ni nchi ipi ambayo haina malalamiko ya wananchi? kama si hili, lile! Gadafi aliyewafanyia kila jema wananchi wake na wapo wanaompinga, Hata Yesu (AS) kuna waliempinga, Muhammad (SAW) hali kadhalika. Kaishi peponi.
Hayo yote uliyoyaandika yanapatikana peoni tu. Si Tanzania wala si hapa duniani! Niambie ni nchi ipi ambayo haina malalamiko ya wananchi? kama si hili, lile! Gadafi aliyewafanyia kila jema wananchi wake na wapo wanaompinga, Hata Yesu (AS) kuna waliempinga, Muhammad (SAW) hali kadhalika. Kaishi peponi.
Nsiande JF-Expert Member Jul 27, 2009 1,649 872 Aug 28, 2011 #23 Nchi ya kitu kidoooogo! Ni nchi ya watu wadoooogo! Kila siku shida shida haiishi mpaka siku ya mwisho...
Nchi ya kitu kidoooogo! Ni nchi ya watu wadoooogo! Kila siku shida shida haiishi mpaka siku ya mwisho...