The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Steve Dii, modern morality and manners suppress all natural instincts, keep people ignorant of the facts of nature and make them fighting drunk bogey tales, ndio akina zomba hao.
<br />Mlitaka tuendelee kupanga? Ama kweli Watanzania hatuna jema.<br />
<br />
Tanzania ilishamua siku nyingi kuwa kila itapopata wasaa itakuwa ikinunua nyumba zake za ubalozi nje, cha kushangaza ni nini?<br />
<br />
Ni jambo jema sana la kujivunia. Hongera sana Serikali.
Zomba is fooking idiot
Zomba, Na zile zilizouzwa na serikali ya CCM hapa Bongo kwa bei chee zilikuwa ni risky investment hivyo hazikufaa??!
Nakushukuru kwa kutumia neno "pengine". Tukisikia diplomat kauziwa huko kwa bei chee kwenye hii "biashara ya nyumba" ambayo serikali imeamua kufanya tutafaidika na jambo hilo kivipi siye walipakodi au tutawawajibisha vipi ma risky investors wetu??!
http://www.newsday.com/classifieds/real-estate/real-li-1.812034/tanzanian-mission-buys-great-neck-house-1.3103257
Orly Hollander of Laffey Fine Homes can now add the United Republic of Tanzania to her list of buyers. She was the listing agent on a Great Neck center hall Colonial that recently sold to the Tanzanian mission for $1.26 million, according to the Long Island Real Estate Report.
How different was the experience for Hollander? She needed the U.S. Department of State to OK it. "This is the first deal I ever did where I needed the government's approval," Hollander says. She adds the home is for the family of an attaché with four children.
The home has five bedrooms, four bathrooms and an open floor plan. The master bedroom has a bath with a Jacuzzi and shower. A two-car garage is attached. The deal closed at the end of June, according to public records.
The State Department statement indicated that requiring government approval is standard practice and in accordance with the Foreign Missions Act. Any foreign mission is required to obtain the U.S. Secretary of State's approval before any acquisition, sale or disposition of real estate is completed.
The statement says there is usually no impact to a community from the presence of a diplomatic residence, and, yes, the State Department has turned down applications in the past.
By the way, the Tanzanian government will be coughing up $22,093.66 a year for property taxes (or almost 36 million Tanzanian shillings).
CHECK: See LI's best mortgage rates
LISTINGS: LI homes for sale and open houses
PHOTOS: Rich cribs on Long Island
http://www.newsday.com/classifieds/real-estate/real-li-1.812034/tanzanian-mission-buys-great-neck-house-1.3103257
Orly Hollander of Laffey Fine Homes can now add the United Republic of Tanzania to her list of buyers. She was the listing agent on a Great Neck center hall Colonial that recently sold to the Tanzanian mission for $1.26 million, according to the Long Island Real Estate Report.
How different was the experience for Hollander? She needed the U.S. Department of State to OK it. "This is the first deal I ever did where I needed the government's approval," Hollander says. She adds the home is for the family of an attaché with four children.
The home has five bedrooms, four bathrooms and an open floor plan. The master bedroom has a bath with a Jacuzzi and shower. A two-car garage is attached. The deal closed at the end of June, according to public records.
The State Department statement indicated that requiring government approval is standard practice and in accordance with the Foreign Missions Act. Any foreign mission is required to obtain the U.S. Secretary of State's approval before any acquisition, sale or disposition of real estate is completed.
The statement says there is usually no impact to a community from the presence of a diplomatic residence, and, yes, the State Department has turned down applications in the past.
By the way, the Tanzanian government will be coughing up $22,093.66 a year for property taxes (or almost 36 million Tanzanian shillings).
CHECK: See LI's best mortgage rates
LISTINGS: LI homes for sale and open houses
PHOTOS: Rich cribs on Long Island
Udiplomat ndio iwe sababu ya kufuja pesa? Lakini sishangai diplomats wetu kutaka makuu, mawaziri wanaishi na familia zao hoteli, why wao wajivunge!
..hivi hawastahili kuwa exempted kwenye masuala ya tax??
..ninavyoelewa mimi diplomats hawalipi tax.
..sasa sijui kama hiyo nyumba ukizingatia kwamba ni ya ubalozi inatakiwa kutozwa tax.
Hii taarifa ina walakini. I know for a fact diplomats don't pay taxes sasa tax ya hiyo nyumba ina toka wapi tena?
word from our leadersWhatever!..............
1) Vitu fulani fulani ndio nini?
2) Hakuna Mkulima wa Tanzania aliyezuiliwa kujenga nyumba au jumba lolote apendavyo. Au uliteka serikali ikamjengee kila mkulima shambani kwake?
3) Tumeona mashamba yote yaliotaifishwa na Nyerere, yana majumba kila namna mazuri mazuri. Vipi baada ya kutaifishwa yalikuwa katika hali ipi?
4) Saa ngapi mkulima wa Tanzania akisha uza mazao yake, ajijengee? wakati muda huo yuko "busy" kwenye vilabu vya pombe?
Msitake kutujaza mambo yasi na maana humu. Andikeni vitu vinavyoeleweka na kustahiki. Kununua nyumba au jumba ya wana diplomasia wake Serikali inapaswa isifiwe sana na si vinginevyo. Tafuteni mengine si haya.
Kweli wewe ni zomba na zumbukuku! Acha kutukana wakulima wewe! Na usijifanye mkali. Kwani uongo kuwa serikali haimjali mkulima wala mfanyakazi wa kawaida isipokuwa viongozi tu?! Yaani we umeona wakulima wote ni walevi sio? Agha! Bora niache kubishana na mj...