Tanzania: Everyone is scared

Mbuzi zamani walikuwa hawana mchungaji, kuna wapuuzi eti waliwahi kumuambia rais aliyechaguliwa kihalali kuwa watafanya nchi isitawalike. Sasa hivi wanachungwa na kuchungika wakitoka nje ya mstari ni viboko. Heshima imekaa mahala pake.
Mtaje mmoja aliyewahi sema hivyo
 
You are sending a bad information to the world with lots of mistakes. Tanzanian should avoid to write in the language they are not well familiar.

For example. Just to mention one...It is not true that akwilina was on way to university. The truth is she was on her way from University called NIT to Bagamoyo. By the way it is not Akwinlina it is Akwilina.

I know it is a missionaries language but please let us practice on normal matters and not on cutting issues like the Akwilina one.
Your English is also very basic and low level...you could have as well drive your point home by writing Kiswahili.
 
Mtusaidie kuandika andika kwa lugha hii ya kindengereko angalau wenzetu waliko ughaibuni wajue tunavyopata tabu hapa nyumbani.
Kuna watu wamenunua nchi sisi tumo kwenye nchi waliyonunua wanafanya kila watakachoiisikia kufanya
 
Back
Top Bottom