Mikutano inayoandaliwa ya Diaspora imejaa wazee lakini jumuiya ya USA ni ya vijana. Haina maana tunabagua wazee lakini wazee na serikali hawajasaidia hawa vijana kwa miaka yote iliyopita na sasa wanataka kujifanya wanaweza kuwakilisha hawa vijana.
1. Wazee na serikali hawajui matatizo ya uhamiaji
2. Wazee na serikali hawajui watu wanaishi vipi kila siku
3. Wazee na serikali hawasaidii matatizo yapotokea. Wazee wanakimbia na serikali inasema haina pesa
4. Wazee na serikali hawana uchungu wa kuishi mbali na familia. Wazee wamehamia huku na familia zao miaka mingi na serikali hawanashida wako Tanzania.
5. Wazee na serikali hawajui ugumu wa kwenda shule. Wazee wengi wamesomeshwa na serikali na serikali haijui shida.
Hamuezi kuanzisha diaspora ambayo haina vijana kwani vijana na wazee wa marekani ni vitu viwili tofauti. Diaspora ya kweli ni lazima iwe na vijana wengi kulizo wazee wanaotaka kukutana na kuweka mikakati ya ufisadi. Mikutano hii ilileta Richmond.
Mkutano unafanyika Houston lakini Watanzania wa Houston hawajaalikwa, kama tatizo ni ukumbi wangesema!! lakini hawataki Serikali ikutane na vijana wanao wakilisha watu wengi waishio marekali kwasababu watazuia muda wa kujadili mikakati na miradi binafsi. Kuna wazee wengi wamesikitika kupoteza nafasi kwani Gire wa Richmond alitumia mikutano kama hii kumzoea Nyanganyi na kuchukua line za ufisadi Tanzania. Diaspora ya USA si ya Watanzania waishio hapa USA ni ya watu wachache wanaotafuta miradi ya kifisadi Tanzania na Raisi usije kwenye hili utaondoka na skendo.
1. Wazee na serikali hawajui matatizo ya uhamiaji
2. Wazee na serikali hawajui watu wanaishi vipi kila siku
3. Wazee na serikali hawasaidii matatizo yapotokea. Wazee wanakimbia na serikali inasema haina pesa
4. Wazee na serikali hawana uchungu wa kuishi mbali na familia. Wazee wamehamia huku na familia zao miaka mingi na serikali hawanashida wako Tanzania.
5. Wazee na serikali hawajui ugumu wa kwenda shule. Wazee wengi wamesomeshwa na serikali na serikali haijui shida.
Hamuezi kuanzisha diaspora ambayo haina vijana kwani vijana na wazee wa marekani ni vitu viwili tofauti. Diaspora ya kweli ni lazima iwe na vijana wengi kulizo wazee wanaotaka kukutana na kuweka mikakati ya ufisadi. Mikutano hii ilileta Richmond.
Mkutano unafanyika Houston lakini Watanzania wa Houston hawajaalikwa, kama tatizo ni ukumbi wangesema!! lakini hawataki Serikali ikutane na vijana wanao wakilisha watu wengi waishio marekali kwasababu watazuia muda wa kujadili mikakati na miradi binafsi. Kuna wazee wengi wamesikitika kupoteza nafasi kwani Gire wa Richmond alitumia mikutano kama hii kumzoea Nyanganyi na kuchukua line za ufisadi Tanzania. Diaspora ya USA si ya Watanzania waishio hapa USA ni ya watu wachache wanaotafuta miradi ya kifisadi Tanzania na Raisi usije kwenye hili utaondoka na skendo.