Tanzania dhidi ya malawi juu ua mgogoro wa umiliki ziwa nyasa

thehunk

JF-Expert Member
Sep 8, 2011
527
221
Screenshot_20170506-235103.png
Screenshot_20170506-235118.png
Screenshot_20170506-235311.png
Screenshot_20170506-235103.png
Habari wana jamvi

Leo nimepata muda wa kupitia pitia Google Maps kuangalia maeneo tofauti tofatuti.
Lakin nilipofika katika ziwa nyasa vitu vya kushtusha naviona mbele ya macho yangu.kwa kifupi ni ziwa lote la nyasa kupewa umiliki nchi ya malawi
Vitu hivo ni kama ifatavyo;

1) jinsi mipaka ilivyowekwa.
Ukiangalia mipaka ilivyowekwa unagundua hili.
Screenshot_20170506-235103.png

Kwenye hizo dot nyeupe ndio kwenye mipaka kati ya nchi ya tanzania na malawii
Screenshot_20170506-235103.png
Screenshot_20170506-235118.png
Screenshot_20170506-235103.png
Screenshot_20170506-235118.png


Lakin ukiangalia vizuri unakuja kugundua hakuna kwenye ramani kuna sehem imeandikwa ziwa nyasa..ziwa zima limejulikana kama ziwa malawi
Screenshot_20170506-235103.png
Screenshot_20170506-235118.png
Screenshot_20170506-235311.png
Screenshot_20170506-235300.png


Sasa maswali yakanijia kichwani je ni kweli ziwe limeshachukuliwa na wamalawi kama walivyokuwa wanadai....mana si muda mrefu toka nisikie kuna watanznia wamekamatwa pindi walipokuwa ziwani nyasa..
 
Hali tofauti kwa upande wa mpaka wa msumbiji na malawi ambapo mpaka upo nusu kwa nusu
 
Ndio maana wameweka doti nyeupe kuonyesha kuwa huo ni mpaka wenye mgogoro.. mgogoro ukiisha wataweka mstari.

Kuhusu jina unaruhusiwa kutumia lolote, Google wamelipenda zaidi lake Malawi
 
Ndio maana wameweka doti nyeupe kuonyesha kuwa huo ni mpaka wenye mgogoro.. mgogoro ukiisha wataweka mstari.

Kuhusu jina unaruhusiwa kutumia lolote, Google wamelipenda zaidi lake Malawi
Sio kweli...walioweka doti nyeupe akina nani? Hao walioweka kwanini wasitatue mgogoro husika? Ukweli ni kwamba hivyo ndivyo Ramani ya mwisho ya kikoloni inavyoonyesha na kwa mujibu wa mkataba wa OAU ambao Tanzania tulisaini tulitakiwa tuheshimu mipaka tuliyoachiwa na wakoloni bila kuapply mikataba mingine ya kimataifa ukiwemo ule wa kugawana maji nusu kwa nusu iwapo mpk una maji ya ziwa bahari au mto hivyo basi kwa mujibu wa mkataba wa OAU Malawi wana haki ya kumiliki ziwa lote lkn kwa mujibu wa sheria ya UN tunatakiwa tugawane. Kinachowapa haki na nguvu wamalawi ni mkataba wa OAU na ndio unaotakiwa kutumika kabla ya wa UN. Kuwashawishi wamalawi waridhie kugawana kisheria ni lazima waridhie kibinadamu tu na si vinginevyo. Swali linakuja watakubali kuridhia kibinadamu? Na hata kama Tanzania tukienda mahakamani bado sheria inatufunga. Kumefanyika majadilano mengi sana kati ya Tanzania na Malawi kuhusu mgogoro huu Tanzania ikiwaomba Malawi waachane na mkataba wa OAU utumike wa UN bila mafanikio lkn chini ya utawala wa bakili muluzi mafanikio yalianza kuonekana lkn baada ya kuingia madarakani mutharika hali ikabadilika mpk Joyce banda hali ikazidi kuwa mbaya kidogo Imani imekuja baada ya mutharika wa sasa kwa sab aliwahi kuishi Tanzania huenda matunda yakapatikana. So far hiyo ndiyo Ramani sahihi ambayo wamalawi wamekuwa wanajifunzia kwenye mitaala yao ya elimu toka wakate Uhuru.
 
Mbona kikwete kipindi ile aliwanyamazisha, piga hao Malawi wasituletee ujingajinga sisi
 
Back
Top Bottom