Dwight schrute
Member
- Mar 5, 2017
- 5
- 2
Mtaelewa tuu magu endelea na kazi baba
Nani kakwambia mimi ni UKAWA. Mimi ni raia hasiye na mfungamano wa upande wowote bali mwananchi na mzalendo mwenye kuipenda nchi yangu na kila nikilala na kuamka natamani iwe nchi kama ya KananiWewe yanakuumizia nini? UKAWA bwana, agenda yenu hivi sasa ni ipi?
Hakuna mtu mchwa mroho na mraji wa kijinga kama Magufuli na the so called group mpya ya ulaji from kanda ya ziwa walaji wa CCM wanatesa kwa zamu ndio maana ni raisi wa kwanza kuwa na approval rate chini ya 10% in only second year of his presidencyMagufuli hapendwi na kakikundi ka watu wachache sana ambako hapo awali kalifikiri kanaweza kushika madaraka ili kuendelea kutumbua rasilimali za nchi
endelea kuposti na kuji jibu lakini Magufuli kwa scale za maraisi wa Tanzania yeye ni zero aisee when it comes to rule of law,vission and accomplishment unajiuliza alisoma wapi huyu wakati wengine woe at least they were not ashamed like this guyWaliozoea vya kunyonga ndo wamebaki wanamlaumu JPM
Kwenye id yako ondoa ma weka U!! Hicho ndio ulichoandika hapa!Akimaliza 10 tunamuongezea,JPM kura yangu 2020.
Mapovu unayo ww unadhan kla anae pingana na ww ni ukawa `Mbona mapovu? Vumilieni rais atutengenezee nchi
Kama ni hawa wawekezaji wanaoliibia taifa kila siku bora waondoke tuUmesoma ripoti ya IMF kuhusu uchumi wa Tanzania? Mpaka wawekezaji hawana uhakika na sera za Magufuli yaani kila siku mambo mapya.
Mkuu, kama wewe si UKAWA basi utakuwa UKIWAMapovu unayo ww unadhan kla anae pingana na ww ni ukawa `
Tafuta shoga mwenzako mka shogeaneMkuu, kama wewe si UKAWA basi utakuwa UKIWA
you must be a political whore of the highest order sir!
Huwa sielewi sometimes unakuwa kama msomi, mwelewa ila sometimes unakuwa kama unajipendekeza, tena sometimes unakuwa kama mwehu.Hakika Mkuu. JPM atabaki kuwa Rais wa Tanzania milele
haven't you heard/seen male whores?Sir?
Sir? Why not madam?