Tanzania bila ushirikina inawezekana?

Link tafadhali... :A S-coffee:

je suala la white magic na black magic linasimama wapi katika hili?
Pia watu kama illuminati inasemekana ni matajiri sana na niwashirikina sasa sijui inakuwa vipi hapo?

 
Kwahiyo study inasema kama mtu anajiamini hawezi kuamini katika mungu wala shetani?

Kutokana na research zao katika nsi zaidi ya 50 wamegundua hivo. Ikiwa nchi iko stable, government inasaidia wananchi wake na watu ni wasomi, wana financial stability na wana uwezo wa kupanga lengo za maisha yao na uhakika wa kuzifikia, watu hua hawaamini katika Mungu, miungu, shetani, mapepo na wachawi na kadhalika. Lazima kusoma kitabu ndio uelewa methods zake. kuna data nyingi sana humo ndani.
 
Thanks. Katika thread hiyo pia kuna member kafanya correlation kati ya ushirikina na umasikini:
Come on! Ndio maana hatuendelei. People take these things literally. I think conventional religion pushes people to also believe in these other forms of spiritual juju. Jesus back before we are dead? The Golden-age of the caliphate? Are you people insane! Even the pilgrims believed that theres was a time when the world would end bla bla bla.. earthquakes? is that a sign..lol People are just insane and believe anything.

Ndio maana ata matatizo ya umeme, umaskini etc hatuwezi yamaliza.. people being so naive, believe the world will end in the next 20 years... How can we plan for 2050 or 2100. Ndio wazungu nwanapotupiga bao. Religion F***ed Africa.
 
Thanks. Katika thread hiyo pia kuna member kafanya correlation kati ya ushirikina na umasikini:

sometimess unapata mawazo bora tuwe na ma atheists wengi kuliko wachamungu ...lol
maana unawaokoa watu kutoka kwa waganga wa kienyeji only to lose them to 'conmen' in the churches.....
 
sometimess unapata mawazo bora tuwe na ma atheists wengi kuliko wachamungu ...lol
maana unawaokoa watu kutoka kwa waganga wa kienyeji only to lose them to 'conmen' in the churches.....

A friend of mine sent me this quotation hapa majuzi:
"When missionaries came to South Africa, we had the land, they had the Bible. Then they told us, 'Let's close our eyes and pray.' When we opened our eyes we saw that we have the Bible, they have the land." Desmond Tutu
 
Asanteni wote mliochangia mada yetu hii..
Kuna watu wanafanya cocktail - wanachanganya "Mungu" na "Sangoma".Unakuta mtu anaswali sala 5 au anakesha kanisani.Ukimpekua unakuta kasheheni hirizi hadi nyingine zinapumua utadhani ni moyo uko kwenye hiyo hirizi lol! Kibaya zaidi mtu anaweza hata kufanya extremes - kutoa kafara mtoto au mke - sijasikia mume lol.... inakuwaje?
 
Mi nadhani swala nzima la imani halijaeleweka vizuri huku kwetu. we have embraced things kwa kuogopa kuuzwa kama watumwa (waarabu) au viboko vya mkoloni. Ila imani yenyewe hatukuielewa...
Halafu hata tukirudi huko nyuma, watu hawakua over religious. Waliamini kuna mababu, mizimu na mizula etc, ila waliishi maisha yao ya kawaida (kuvua, kulima, kufuga, kuwinda, kuuza na kununua, kupigana vita etc) and ressorted to them only pakiwa na shida.
Sasa inakuaje leo watu hawataki kufanya kazi eti wanamtegemea Mungu tu au wanategemea ushirikina?
Haiingii...:noidea:
Asanteni wote mliochangia mada yetu hii..
Kuna watu wanafanya cocktail - wanachanganya "Mungu" na "Sangoma".Unakuta mtu anaswali sala 5 au anakesha kanisani.Ukimpekua unakuta kasheheni hirizi hadi nyingine zinapumua utadhani ni moyo uko kwenye hiyo hirizi lol! Kibaya zaidi mtu anaweza hata kufanya extremes - kutoa kafara mtoto au mke - sijasikia mume lol.... inakuwaje?
 
Mi nadhani swala nzima la imani halijaeleweka vizuri huku kwetu. we have embraced things kwa kuogopa kuuzwa kama watumwa (waarabu) au viboko vya mkoloni. Ila imani yenyewe hatukuielewa...
Halafu hata tukirudi huko nyuma, watu hawakua walokole. Waliamini kuna mababu, mizimu na mizula etc, ila waliishi maisha yao ya kawaida (kuvua, kulima, kufuga, kuwinda, kuuza na kununua, kupigana vita etc) and ressorted to them only pakiwa na shida.
Sasa inakuaje leo watu hawataki kufanya kazi eti wanamtegemea Mungu tu au wanategemea ushirikina?
Haiingii...:noidea:

Kweli mwali!
Lakini, kama vongozi wetu tunaowategemea katika ngazi zote watuongoze, watuonyeshe namna ya kufanya kazi kwa bidii, na wao wanatafuta uchawi uwasaidie inakuwaje? Halafu pale "inapoonekana" kuwafanikisha - watu wanaenda Bagamoyo kisha wakirudi tunaona "wanafanikiwa" au mtu anavaa "vipapatiko" mwilini - kwenye nywele kisha anaenda kuhutubia - anapata umati mkubwa sana unamsikiliza! Huoni inawashawishi "maskini" kuamini kuwa kuna njia za mkato kupata mafanikio?
 
Kuna jamaa yangu anatoka Kenya aliniambia ili mganga wa kienyeji apate soko huko ni lazima aandike kuwa anatoka Tanzania. Ndio maaana watanzania wengi wavivu lakini wanataka mafanikio ya chap chap.Kimsingi wanatapeliwa tu. make kama uganga unalipa basi house girl agombee na ashinde ubunge.
 
Tanzania ni special case aisee kwenye ushirikina..
mtu ni msomi wa Harvard na ni mshiriikina...
wasomi wa TZ ni wa aina yake....
hivi ushirikina unasababisha umasikini au umasikini unapelekea watu kuwa washirikina?????

Boss,
We waste alot of talents and opportunities for growth because of this...watu hawajui balaa linaloletwa na ushirikina. Kila challenge inayotokea badala ya kuikabili intelligently, mtu anaamini ni uchawi...duuh!
 
Ninachoka kabisa kusikia baadhi ya viongozi na hata wafanyabiashara wakubwa hawafanyi lolote bila ushauri wa waganga. Tunataka kujenga nchi ya aina gani?
 
kweli kabisa ushirikina upo sana kwenye ofisi za serikali,unakuta mtu msomi mzuri lakini hafanyi kazi bila kwenda kwa sangoma,

Tuseme ushirikina ni tatizo la jamii yenyewe ya Wabongo? au tuseme ndio utamaduni uliotulea? Kwa waliokulia vijijini na kuja mjini kwa ajili ya shule na kutafuta ajira tutachukulia kuwa ni utamaduni uliowalea, vipi hawa vijanaq wetu wa Dotcom, nao wanaendekeza haya?
 
Kuna jamaa yangu anatoka Kenya aliniambia ili mganga wa kienyeji apate soko huko ni lazima aandike kuwa anatoka Tanzania. Ndio maaana watanzania wengi wavivu lakini wanataka mafanikio ya chap chap.Kimsingi wanatapeliwa tu. make kama uganga unalipa basi house girl agombee na ashinde ubunge.

Siyo Kenya tu. nenda kusini mwa Africa SA, Lesotho, Swaziland na hata Angola, waganga kutoka Tanzania wameenea na wengine wanaketi hata vibarazani! Wanaaminika sana kwa juju!

Ninachoka kabisa kusikia baadhi ya viongozi na hata wafanyabiashara wakubwa hawafanyi lolote bila ushauri wa waganga. Tunataka kujenga nchi ya aina gani?
Hilo ndilo swali la kujiuliza!

Tuseme ushirikina ni tatizo la jamii yenyewe ya Wabongo? au tuseme ndio utamaduni uliotulea? Kwa waliokulia vijijini na kuja mjini kwa ajili ya shule na kutafuta ajira tutachukulia kuwa ni utamaduni uliowalea, vipi hawa vijanaq wetu wa Dotcom, nao wanaendekeza haya?

Dot com wa Tanzania badala ya kukumbatia "Uchawi" wa kizungu wa sayansi na teknolojia au teke linalokujia kwa kasi, wako busy kuangalia sinema za kinaijeria na kusaka ndumba - wasanii wa kizazi kipya wamebobea kwa hili.Kibaya zaidi, sinema za Kitz nazo zinaakisi sana uchawi kama zilivyo sinema za kinaijeria.Kizazi kipya kinarithishwa nini jamani?
 
Kama kuna kitu kinanisumbua kichwa basi ni kuhusu hiyo yopic na kama kweli nikipata muda na fedha ningefanya utafiti na maswali amabayo kila mara nakua nikijiuliza ni haya;
(1) Kuna ushusiano gani kati ya Ushirikina na siasa...Hapa nikimaanisha ni kwanini wanasiasa wetu wengi wanahusishwa na ushirikina?? na unawasaidiaje kisiasa na mfano wakiamua wote kwenda kwa mganga mmoja nini kitatokea na je siku wote wasipo enda hakuta patikana mshindi katika uchaguzi kwa mfano???
(ii) Kuna uhusiano gani kati ya utajiri na mali, fedha na utajiri??? Kume kuwa na simulizi mbalimbali kuwa kumekua na watu wengi sana wakienda kwa waganga (wachawi) ili wawe matajiri na baadhi wakitoa ushuhuda kuwa fulani na fulani mali zao wamezipata kishirikina na kuna baadhi ya makabili hapa Tanzania yamekua yakitolewa mifano kuwa bisahara zao nyingi hutegemea ushirikina, swali la kujiuliza hapa ni kuwa, mbona jamii yetu watu wengi sana ni masikini na kwanini hawa masikini wote wasiende kwa waganga ili wawe matajiri???
(iii) Na je ni kweli uganga ulozi na uchawi uko Afrika peke yake??? Vipi habari tunazozisikia za akina free mansion je nao wana connection yeyote na uchawi, ulozi na ushirikina katika kupata mali na umaarufu???
(iv) kwanini baadhi ya waumini wazuri wa madhehebu mabali mbali na hata viongozi wao wakubwa nao huenda kwa waganga.
(v) Jee ni kweli nguvu za uchawi funya kazi?? Mfano mtu anaeza kwenda kufanyiwa dawa ili awe maarufu, tajiri, apate cheo???

Jamani naombeni msaada kwa hayo
 
TANZANIA NI NOMA! SOMENI HAPO CHINI:
Witchcraft Beliefs Shock TFF President

The Citizen (Dar es Salaam)
NEWS
30 October 2008

By Majuto Omary

The Tanzania Football Federation (TFF) President, Leodegar Tenga, said he was shocked by witchcraft beliefs exhibited in Simba versus Yanga match last Sunday.
He said that clubs must stop believing in witchcraft since victory can only come through hard work and good preparations and not otherwise.


During derby, Simba players Mussa "Mgosi" Hassan and Henry Joseph were yellow-carded for invading Young Africans goal to remove an amulet that was 'stopping them from scoring'.
They took the decision to remove a small strange substance after missing so many scoring chances.
But it was not clear who had planted the amulet in the nets since Simba also had used the goal area in the first half.
Meanwhile, the TFF boss said he was delighted by match excitement and the standard of football displayed.
"The teams displayed a very good game, every team had chances to win, but Young Africans were lucky and won the match," said Tenga.
Tenga also defended Victor Mwandike, who has been criticised for weakening Simba by flashing cards during the game.
"The players who were sent off deserved it, you are not allowed to assault your opponent on the pitch, Mwalala (Ben) and Abel (Meshack) were up in arms, it was a fair decision to send them off," said Tenga.
He also said he was impressed by a huge fan turn out and urged soccer followers to also do the same in other games.

 
Tanzania tunatia aibu yaani kwenye ujinga na ushirikina tuko juu ila maendeleo ni wa mwisho hadi inasikitisha..nchi imejaaliwa mali lakini watu wake washirikina na kuendekeza mambo yasiyo na msingi
 
T
Mara nyingi tunasikia pesa kiasi kikubwa zilitumika katika "kamati za ufundi" -
hasa kwenye michezo.Wasanii wa kizazi kipya nao wanatuhumiwa kwa ushirikina.
Hawa ndio usiseme.Wengine huolewa na waganga wa kienyeji.Mnamkumbuka Nora wa Kaole aliyeolewa na Mganga? Mwingine wa Kaole group huyu:
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/223432-staa-kaole-afumwa-makaburini-usiku-wa-manane.html
 
T
Mara nyingi tunasikia pesa kiasi kikubwa zilitumika katika "kamati za ufundi" -
Hawa ndio usiseme.Wengine huolewa na waganga wa kienyeji.Mnamkumbuka Nora wa Kaole aliyeolewa na Mganga? Mwingine wa Kaole group huyu:
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/223432-staa-kaole-afumwa-makaburini-usiku-wa-manane.html
This is so sad kwa kweli... inaua initiatives.
 
Back
Top Bottom