USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Diwani wa CCM anakata miti mikubwa iliyopandwa muda mrefu na kutunzwa Kwa muda mrefu Kwa gharama kubwa anakata na kuuzia shule binafsi DC UBUNGO yupo ofisini, TANROAD na NEMC mpompo tu
Kwa niaba ya wakazi wa UBUNGO hususani eneo temboni Kwa msuguli kata ya Msingwa tunawataka NEMC na TANROAD UBUNGO wamkamate Diwani wa CCM Msingwa na chawawa wake Kwa kosa la kukata miti na kuuzia shule binafsi na kutuacha na Jangwa.
Kwenye round about ya kuelekea BOSCH hospital miti yote mikubwa imekatwa na kukatwa katwa na kuuzwa Kwa shule binafsi na kuwacha abilia na wafanya biashara ndogo ndogo kukaa kwenye jua na kuharibu madhari ya eneo husika.
USSR
Kwa niaba ya wakazi wa UBUNGO hususani eneo temboni Kwa msuguli kata ya Msingwa tunawataka NEMC na TANROAD UBUNGO wamkamate Diwani wa CCM Msingwa na chawawa wake Kwa kosa la kukata miti na kuuzia shule binafsi na kutuacha na Jangwa.
Kwenye round about ya kuelekea BOSCH hospital miti yote mikubwa imekatwa na kukatwa katwa na kuuzwa Kwa shule binafsi na kuwacha abilia na wafanya biashara ndogo ndogo kukaa kwenye jua na kuharibu madhari ya eneo husika.
USSR