MinMash
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 348
- 119
Vp kama askari anaumwa na at the same time anataka kuendelea na kazi na ugonjwa huo ameupata kutokana na shuguli za jeshi anaweza sitishiwa mkataba?
labda kama ugonjwa wako hakuruhusu kabisa kuendelea na kazi