Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

Vp kwa waliomaliza chuo 2005

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
ningependa kuuliza kuwa iyo koz itakuwa ya muda,gani alafu je baada ya apo ndio unakuwa polisi wa kuvaa sare uku ukitumikia prof yakoo.....
 
ningependa kuuliza kuwa iyo koz itakuwa ya muda,gani alafu je baada ya apo ndio unakuwa polisi wa kuvaa sare uku ukitumikia prof yakoo.....

Ukifungua mafunzo ndo utakuwa umeajiliwa, mafunzo huchukua kati ya wiki 35 - 38 huku unalipwa posho nusu (70,000/- or 90,000/-). Adhabu za kijeshi zipo palepale...ikiwemo lock up na kufukuzwa ukikiuka sheria mtakazotangaziwa.
Mkimaliza mafunzo mnaapa kwny sherehe then mnagawiwa vikosi na mikoa au kulingana na profession mlizoingilia. Utavaa nguo kulingana na ulipopangiwa. Wanasheria maranyng hupangiwa upelelezi au mahakamani...so huvaa kiraia. Computer engineers huvaa uniform but nje over roll, the likely to doctors, etc.
 
Ur profession is not a matter...the matter is what department are u? Kama hupendi uniform just stay at home keep waiting for ur dream job. Infact..sociology hupangwa dawati la jinsia na watoto, hawavai uniform.
 
Dah sir lugoje napenda san ilo jesh bt nakumbuk walikuj jkt wakaniacha kwa kukosa inch moja tu mi graduate na nna 27yrs ilinipain san kk yan inch moja tu du c mchezo mna mashart sana aisee cc vimbilikimo tuna kaz kweli wadau.

Bwana Mkomanzila cwezi kukuhakikishia 100% lakini mwaka wangu mm walichukuliwa hadi wale wafupi tu...alimradi una profession ambayo ni productive kwa jeshi kama vile sheria,IT, HRM, Record managt, accountancy,social work,etc. Jaribu kuomba...ila hautapangwa traffic wala FFU.

poti sifa gan? Zinamfanya mtu achaguliwe trafic au ffu. Na vp watu wa hrm wanapangiwa vitengo gan?
 
Ur profession is not a matter...the matter is what department are u? Kama hupendi uniform just stay at home keep waiting for ur dream job. Infact..sociology hupangwa dawati la jinsia na watoto, hawavai uniform.

Kuna Mapolisi wengine them coward morfuc.kers wapo pembeni kiimya wanaogopa kuja kukomaa na kutoa sapoti kwa polisi mwenzao sir lugoje alie kwenye battle humu na hawa maraia.

C'moon and say somethin officers!!
 
ukifungua mafunzo ndo utakuwa umeajiliwa, mafunzo huchukua kati ya wiki 35 - 38 huku unalipwa posho nusu (70,000/- or 90,000/-). Adhabu za kijeshi zipo palepale...ikiwemo lock up na kufukuzwa ukikiuka sheria mtakazotangaziwa.
Mkimaliza mafunzo mnaapa kwny sherehe then mnagawiwa vikosi na mikoa au kulingana na profession mlizoingilia. Utavaa nguo kulingana na ulipopangiwa. Wanasheria maranyng hupangiwa upelelezi au mahakamani...so huvaa kiraia. Computer engineers huvaa uniform but nje over roll, the likely to doctors, etc.
mkuu kabla ya yote napenda kukushukuru kwa dhat kabisa kwa kutuelimisha juu ya haya maswala,, nina swali moja,, ni kipindi kipi unaweza kupangiwa mfano ffu, polisi magereza, traf, na je ni wao wanakupangia au ni wewe unachagua,, hasante saana mkuu
 
Sifa gan? Za kuchaguriwa trafic au ffu na vp hrm wanapangiwa vitengo gan?

FFU unapangiwa hukohuko CCP...wengi wanakuwa ni wale waliochukuliwa kutoka JKT lakini huchanganywa na wa kawaida...hakuna special criteria.
Kuhusu Traffic unapangiwa baada ya kufika mkoa ulipangiwa. Unaulizwa kama unataka au kuomba kuhama kutoka au kuingia Traffic. OCD anaweza kuamua kuteua watu kulingana na criteria zake.
 
mkuu kabla ya yote napenda kukushukuru kwa dhat kabisa kwa kutuelimisha juu ya haya maswala,, nina swali moja,, ni kipindi kipi unaweza kupangiwa mfano ffu, polisi magereza, traf, na je ni wao wanakupangia au ni wewe unachagua,, hasante saana mkuu

Hakuna kipindi maalum, FFU unapangiwa ukifika huko lakini pia ukifika kazini unaweza unaweza kuomba kwenda huko but kutoka ni shida kidogo. Traffic unapangiwa tu cku yyte na OCD au Staff Officer au RPC kutegemea mahali ulipo. Hakuna special criteria ndio maana wengine huomba kwa viongoz ili wahamishiwe huko. Kutoka pia ruksa...
Hakuna polisi magereza ila polisi mahakama. Ukipangwa upelelezi ndo utagawiwa huko tena...either mahakamani,anti terrorism,vituo/sheri za mafuta,anti robbery,banks,public parastotals,etc.
 
Jamani kazi za polisi sare haziepukiki na ni kazi ya wito kama kazi zingine hata kama upangiwe CID,INTELLIGENCE au FORENSIC lazima uwe na pea ya sare mara moja moja lazima uvae na ugumu wake ni kipindi huna rank mbona ukianza kupata nyota utatamani uvae daily
 
Potoshaneni...wengi husema hivo but ushahidi hawana, akiingia huku ukimuuliza vipi unasemaje kuhusu jeshi la polisi, utasikia "aah nilikuwa nasikia mengi kumbe daah ni hulka yamtu binafsi"
I declare interest..binafsi niaskari but sijawahi kupokea rushwa (maana baadhi ya askari haombi rushwa..hupokea). Nipo ofisini nafanya sehem yajukumu langu narudi kwangu. Nmefanya pia kazi za kusimama point na kuznguka na pikipiki...kupokea rushwa ni hulka ya mtu mmoja mmoja sio woote, kama ilivyo sekta zingine kama ardhi na nyumba,mahakama,ugavi,tra au bandari, kuna rushwa kubwa
mmno huko. Over!
bro vip naeza kukucheki kwa inbox ya cm please i need ur directives if pocbo
 
Jamani kazi za polisi sare haziepukiki na ni kazi ya wito kama kazi zingine hata kama upangiwe CID,INTELLIGENCE au FORENSIC lazima uwe na pea ya sare mara moja moja lazima uvae na ugumu wake ni kipindi huna rank mbona ukianza kupata nyota utatamani uvae daily
Vp watu wa profesional ya HRM na mafundi ushonaji wanapangwa kwenye vitengo vp?
 
bro vip naeza kukucheki kwa inbox ya cm please i need ur directives if pocbo

Mr rayman what else do u want frm me about police force. Surely i cant talk out or more than what i talk here. Just ask any troubling tip here then i wl answer them all as partially as u suppose to know...mind u some information are confidential and strategical to force and there is no one herein who can guarantee my safety. I wl try my level best to make sure i clarify any question that u asks but releasing ontacts to a person i dont know it is risk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom