Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Baada ya Ccm kujitahidi kubeba watu na matrekta/Mafuso dodoma kwa nia ya kuwazimisha watu lakini walichemka.
Hata wale waliotolewa Dar na masaburi wakazime nao walishindwa zoezi hilo baada ya kumtoroka
Sasa leo ni zamu ya wana Dar es salaamu kuzimia kwa hiari kwenye viwanja vya Tanganyika pekaz kawe
Mpaka sasa watu wameanza kuja eneo la tukio wakimsubiri Lowassa na tema yake wapate tiba ya mabadiliko
Watu ni wengi na wote wanaimba wimbo wa mabadilko tu.
Hata wale waliotolewa Dar na masaburi wakazime nao walishindwa zoezi hilo baada ya kumtoroka
Sasa leo ni zamu ya wana Dar es salaamu kuzimia kwa hiari kwenye viwanja vya Tanganyika pekaz kawe
Mpaka sasa watu wameanza kuja eneo la tukio wakimsubiri Lowassa na tema yake wapate tiba ya mabadiliko
Watu ni wengi na wote wanaimba wimbo wa mabadilko tu.