Tanganyika na baraka za Watanganyika

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
5,306
7,211
Japo hazina uthibitisho wa kuaminika, lakini kutokana na hali ilivyo, unaweza ukashawishika kuziamini.

Maelezo ya mtu anayedai kuwa alikuwa Mwenyekiti wa wachawi wa Tanzania kabla ya kuachana nao mnamo mwaka 2000 ni kama ifuatavyo:

1. Tanzania inatawaliwa kwa msaada wa nguvu za kichawi. Kabla ya nchi kupata uhuru, kulifanyika tambiko Bagamoyo lililoikabithi nchi ya Tanganyika kwa Shetani. Kiongozi mkuu wa hilo tambiko alikuwa ni mchawi mashuhuri aliyeitwa Forojo Ganze

2. Mwenge uliasisiwa na tambiko la Bagamoyo. Lengo mojawapo la hilo tambiko ni kuifanya nchi kutawalika

3. Jina la Tanzania ni mpango wa Shetani. Jina ambalo lina baraka za Watanganyika ni Tanganyika, lakini Chama cha siri cha kichawi hawakuliridhia hilo jina kwa sababu lilikuwa likiwakwamishia mambo yao ya kuitawala Tanganyika

4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulilenga kupoteza jina la Tanganyika ili iwe rahisi kwa wachawi kuendesha utawala wa nchi bila bughudha

5. Mwanzoni, ililengwa kuunganishwa Tanganyika na Kenya na Uganda, lakini iliposhindikana, ndipo Zanzibar ilipogeukiwa

6. Katika shindano la kutafuta jina jipya la nchi mbili zilizoungana, walijitokeza watu zaidi ya 1,500, lakini walioshinda walikuwa watu 16. Wote waliibuka na jina la TANZANIA

6. Katika watu 16 waliolibuni jina la Tanzania, ni watu watatu au wanne hivi ndiyo waliofahamika. Hata hivyo, aliyekidhi vigezo vya kukabidhiwa zawadi ni mmoja tu, Ikbaru Mohammed Dar

7. Washiriki wengine ambao hawakufahamika, wanasadikiwa kuwa hawakuwa binadamu, bali majini

8. Maana halisi ya Tanzania kwa mujibu wa Ikbaru Mohammed Dar ni Tan = Tanganyika, Zan = Zanzibar, I = Ikbaru (jina la mtunzi), na A = Ahamadya (Jumuia yake katika dini ya Kiislamu)

9. Siku chache baada ya kupata huo ushindi, baba yake Ikbaru na familia nzima, Ikbaru akiwemo, waliondoka nchini na kuhamia Uingereza. Babaye alishauriwa kuondoka haraka sana nchini ikiwa hataki mabaya yaipate familia yake. Kitendo cha kijana wake kuweka herufi ya jina lake kwenye jina la nchi kiliwakasirisha majini. Ni kama vile aliingia kwenye vita na majini. Alijimilikisha nchi wakati majini yalikuwa yakiamini kuwa wao ndiyo wenye haki ya kuimiliki nchi

10. Chama cha kichawi kinaiendesha nchi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wana "ofisi" yao kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kama Wazee washauri, lakini ukweli ni kwamba wao ni wachawi wanaoitawala nchi kupitia chama chao cha kichawi.

11. Ajali iliyomuua Sokoine mwaka 1984 ilitengenezwa na Chama cha kichawi cha siri kinachoitawala Tanzania kwa sababu Sokoine alikuwa hakubaliani na mambo ya ramli, hivyo hakuwa akiwapa ushirikiano. Alikuwa akiamini katika majani ya miti shamba kama tiba lakini si katika majini na ramli.

12. Chama cha kichawi kinachoitawala Tanzania kwa siri kiliapa kuwa haitatokea kwa mtu aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushika nafasi ya Urais wa Tanzania. Ni mpaka pale utawala wao wa kichawi utakapodhoofishwa au kupinduliwa ndipo mtu aliyewahi kushika huo wadhifa ataweza kuwa Rais. Ikitokea mtu atafanikiwa kushika huo wadhifa, itamaamisha kuwa ana nguvu kubwa za kiroho kukizidi hicho Chama cha kichawi, ama za Mungu au za giza.

Kwa hiyo hata kama Kasim Majaliwa na wengine waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu watatamani kuwa Rais wa Tanzania, hawataweza endapo huo utawala wa kichawi haujapinduliwa. Siyo kwamba hawana sifa, bali misimamo watawala wa gizani haiwakubali

13. Tambiko la kitaifa la 1990 lililofanyika mkoani Lindi, limekuwa na madhara kwa watu wa Lindi waliozaliwa baada ya tambiko hilo(baada ya 1990). Madhara ya hilo tambiko ni pamoja na udumavu wa kielimu na kimaendeleo kwa ujumla.

14. Neno Tanganyika lina asili ya kabila la Kichapu, na maana yake ni nchi yenye rutuba. Kama Tanganyika ingeachwa iendelee kulitumia jina lake la awali kungekuwa na maendeleo zaidi ya ilivyo sasa. Jina la Tanganyika ndilo limebeba baraka za Watanganyika.

Kama ndivyo, kuna haja ya kuendelea kulitumia jina la Tanzania ilhali lenye baraka ni la Tanganyika?

Kwa sehemu naweza kukubalianan na mzungumzaji kuwa huenda ni kweli Muungano ulilenga kulipoteza jina la Tanganyika. Kama sivyo, kwa nini jina la Tanganyika limefichwa wakati la nchi ya ya Zanzibar linaendelea kutumika?

Nimeambatamisha na clips chache.
 

Attachments

  • PART14_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    1.9 MB
  • PART14_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    1.6 MB
  • PART14_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    1.9 MB
  • PART15_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    2 MB
  • Kicheko
Reactions: rr3
Japo hazina uthibitisho wa kuaminika, lakini kutokana na hali ilivyo, unaweza ukashawishika kuziamini.

Maelezo ya mtu anayedai kuwa alikuwa Mwenyekiti wa wachawi wa Tanzania kabla ya kuachana nao mnamo mwaka 2000 ni kama ifuatavyo:

1. Tanzania inatawaliwa kwa msaada wa nguvu za kichawi. Kabla ya nchi kupata uhuru, kulifanyika tambiko Bagamoyo lililoikabithi nchi ya Tanganyika kwa Shetani. Kiongozi mkuu wa hilo tambiko alikuwa ni mchawi mashuhuri aliyeitwa Forojo Ganze

2. Mwenge uliasisiwa na tambiko la Bagamoyo. Lengo mojawapo la hilo tambiko ni kuifanya nchi kutawalika

3. Jina la Tanzania ni mpango wa Shetani. Jina ambalo lina baraka za Watanganyika ni Tanganyika, lakini Chama cha siri cha kichawi hawakuliridhia hilo jina kwa sababu lilikuwa likiwakwamishia mambo yao ya kuitawala Tanganyika

4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulilenga kupoteza jina la Tanganyika ili iwe rahisi kwa wachawi kuendesha utawala wa nchi bila bughudha

5. Mwanzoni, ililengwa kuunganishwa Tanganyika na Kenya na Uganda, lakini iliposhindikana, ndipo Zanzibar ilipogeukiwa

6. Katika shindano la kutafuta jina jipya la nchi mbili zilizoungana, walijitokeza watu zaidi ya 1,500, lakini walioshinda walikuwa watu 16. Wote waliibuka na jina la TANZANIA

6. Katika watu 16 waliolibuni jina la Tanzania, ni watu watatu au wanne hivi ndiyo waliofahamika. Hata hivyo, aliyekidhi vigezo vya kukabidhiwa zawadi ni mmoja tu, Ikbaru Mohammed Dar

7. Washiriki wengine ambao hawakufahamika, wanasadikiwa kuwa hawakuwa binadamu, bali majini

8. Maana halisi ya Tanzania kwa mujibu wa Ikbaru Mohammed Dar ni Tan = Tanganyika, Zan = Zanzibar, I = Ikbaru (jina la mtunzi), na A = Ahamadya (Jumuia yake katika dini ya Kiislamu)

9. Siku chache baada ya kupata huo ushindi, baba yake Ikbaru na familia nzima, Ikbaru akiwemo, waliondoka nchini na kuhamia Uingereza. Babaye alishauriwa kuondoka haraka sana nchini ikiwa hataki mabaya yaipate familia yake. Kitendo cha kijana wake kuweka herufi ya jina lake kwenye jina la nchi kiliwakasirisha majini. Ni kama vile aliingia kwenye vita na majini. Alijimilikisha nchi wakati majini yalikuwa yakiamini kuwa wao ndiyo wenye haki ya kuimiliki nchi

10. Chama cha kichawi kinaiendesha nchi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wana "ofisi" yao kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kama Wazee washauri, lakini ukweli ni kwamba wao ni wachawi wanaoitawala nchi kupitia chama chao cha kichawi.

11. Ajali iliyomuua Sokoine mwaka 1984 ilitengenezwa na Chama cha kichawi cha siri kinachoitawala Tanzania kwa sababu Sokoine alikuwa hakubaliani na mambo ya ramli, hivyo hakuwa akiwapa ushirikiano. Alikuwa akiamini katika majani ya miti shamba kama tiba lakini si katika majini na ramli.

12. Chama cha kichawi kinachoitawala Tanzania kwa siri kiliapa kuwa haitatokea kwa mtu aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushika nafasi ya Urais wa Tanzania. Ni mpaka pale utawala wao wa kichawi utakapodhoofishwa au kupinduliwa ndipo mtu aliyewahi kushika huo wadhifa ataweza kuwa Rais. Ikitokea mtu atafanikiwa kushika huo wadhifa, itamaamisha kuwa ana nguvu kubwa za kiroho kukizidi hicho Chama cha kichawi, ama za Mungu au za giza.

Kwa hiyo hata kama Kasim Majaliwa na wengine waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu watatamani kuwa Rais wa Tanzania, hawataweza endapo huo utawala wa kichawi haujapinduliwa. Siyo kwamba hawana sifa, bali misimamo watawala wa gizani haiwakubali

13. Tambiko la kitaifa la 1990 lililofanyika mkoani Lindi, limekuwa na madhara kwa watu wa Lindi waliozaliwa baada ya tambiko hilo(baada ya 1990). Madhara ya hilo tambiko ni pamoja na udumavu wa kielimu na kimaendeleo kwa ujumla.

14. Neno Tanganyika lina asili ya kabila la Kichapu, na maana yake ni nchi yenye rutuba. Kama Tanganyika ingeachwa iendelee kulitumia jina lake la awali kungekuwa na maendeleo zaidi ya ilivyo sasa. Jina la Tanganyika ndilo limebeba baraka za Watanganyika.

Kama ndivyo, kuna haja ya kuendelea kulitumia jina la Tanzania ilhali lenye baraka ni la Tanganyika?

Kwa sehemu naweza kukubalianan na mzungumzaji kuwa huenda ni kweli Muungano ulilenga kulipoteza jina la Tanganyika. Kama sivyo, kwa nini jina la Tanganyika limefichwa wakati la nchi ya ya Zanzibar linaendelea kutumika?

Nimeambatamisha na clips chache.
Ok
 
Baadhi ya clips za part 15
 

Attachments

  • PART15_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    2 MB
  • PART15_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    2 MB
Part 16
 

Attachments

  • PART16_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    2 MB
  • PART16_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    1.5 MB
  • PART16_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    1.3 MB
Japo hazina uthibitisho wa kuaminika, lakini kutokana na hali ilivyo, unaweza ukashawishika kuziamini.

Maelezo ya mtu anayedai kuwa alikuwa Mwenyekiti wa wachawi wa Tanzania kabla ya kuachana nao mnamo mwaka 2000 ni kama ifuatavyo:

1. Tanzania inatawaliwa kwa msaada wa nguvu za kichawi. Kabla ya nchi kupata uhuru, kulifanyika tambiko Bagamoyo lililoikabithi nchi ya Tanganyika kwa Shetani. Kiongozi mkuu wa hilo tambiko alikuwa ni mchawi mashuhuri aliyeitwa Forojo Ganze

2. Mwenge uliasisiwa na tambiko la Bagamoyo. Lengo mojawapo la hilo tambiko ni kuifanya nchi kutawalika

3. Jina la Tanzania ni mpango wa Shetani. Jina ambalo lina baraka za Watanganyika ni Tanganyika, lakini Chama cha siri cha kichawi hawakuliridhia hilo jina kwa sababu lilikuwa likiwakwamishia mambo yao ya kuitawala Tanganyika

4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulilenga kupoteza jina la Tanganyika ili iwe rahisi kwa wachawi kuendesha utawala wa nchi bila bughudha

5. Mwanzoni, ililengwa kuunganishwa Tanganyika na Kenya na Uganda, lakini iliposhindikana, ndipo Zanzibar ilipogeukiwa

6. Katika shindano la kutafuta jina jipya la nchi mbili zilizoungana, walijitokeza watu zaidi ya 1,500, lakini walioshinda walikuwa watu 16. Wote waliibuka na jina la TANZANIA

6. Katika watu 16 waliolibuni jina la Tanzania, ni watu watatu au wanne hivi ndiyo waliofahamika. Hata hivyo, aliyekidhi vigezo vya kukabidhiwa zawadi ni mmoja tu, Ikbaru Mohammed Dar

7. Washiriki wengine ambao hawakufahamika, wanasadikiwa kuwa hawakuwa binadamu, bali majini

8. Maana halisi ya Tanzania kwa mujibu wa Ikbaru Mohammed Dar ni Tan = Tanganyika, Zan = Zanzibar, I = Ikbaru (jina la mtunzi), na A = Ahamadya (Jumuia yake katika dini ya Kiislamu)

9. Siku chache baada ya kupata huo ushindi, baba yake Ikbaru na familia nzima, Ikbaru akiwemo, waliondoka nchini na kuhamia Uingereza. Babaye alishauriwa kuondoka haraka sana nchini ikiwa hataki mabaya yaipate familia yake. Kitendo cha kijana wake kuweka herufi ya jina lake kwenye jina la nchi kiliwakasirisha majini. Ni kama vile aliingia kwenye vita na majini. Alijimilikisha nchi wakati majini yalikuwa yakiamini kuwa wao ndiyo wenye haki ya kuimiliki nchi

10. Chama cha kichawi kinaiendesha nchi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wana "ofisi" yao kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kama Wazee washauri, lakini ukweli ni kwamba wao ni wachawi wanaoitawala nchi kupitia chama chao cha kichawi.

11. Ajali iliyomuua Sokoine mwaka 1984 ilitengenezwa na Chama cha kichawi cha siri kinachoitawala Tanzania kwa sababu Sokoine alikuwa hakubaliani na mambo ya ramli, hivyo hakuwa akiwapa ushirikiano. Alikuwa akiamini katika majani ya miti shamba kama tiba lakini si katika majini na ramli.

12. Chama cha kichawi kinachoitawala Tanzania kwa siri kiliapa kuwa haitatokea kwa mtu aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushika nafasi ya Urais wa Tanzania. Ni mpaka pale utawala wao wa kichawi utakapodhoofishwa au kupinduliwa ndipo mtu aliyewahi kushika huo wadhifa ataweza kuwa Rais. Ikitokea mtu atafanikiwa kushika huo wadhifa, itamaamisha kuwa ana nguvu kubwa za kiroho kukizidi hicho Chama cha kichawi, ama za Mungu au za giza.

Kwa hiyo hata kama Kasim Majaliwa na wengine waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu watatamani kuwa Rais wa Tanzania, hawataweza endapo huo utawala wa kichawi haujapinduliwa. Siyo kwamba hawana sifa, bali misimamo watawala wa gizani haiwakubali

13. Tambiko la kitaifa la 1990 lililofanyika mkoani Lindi, limekuwa na madhara kwa watu wa Lindi waliozaliwa baada ya tambiko hilo(baada ya 1990). Madhara ya hilo tambiko ni pamoja na udumavu wa kielimu na kimaendeleo kwa ujumla.

14. Neno Tanganyika lina asili ya kabila la Kichapu, na maana yake ni nchi yenye rutuba. Kama Tanganyika ingeachwa iendelee kulitumia jina lake la awali kungekuwa na maendeleo zaidi ya ilivyo sasa. Jina la Tanganyika ndilo limebeba baraka za Watanganyika.

Kama ndivyo, kuna haja ya kuendelea kulitumia jina la Tanzania ilhali lenye baraka ni la Tanganyika?

Kwa sehemu naweza kukubalianan na mzungumzaji kuwa huenda ni kweli Muungano ulilenga kulipoteza jina la Tanganyika. Kama sivyo, kwa nini jina la Tanganyika limefichwa wakati la nchi ya ya Zanzibar linaendelea kutumika?

Nimeambatamisha na clips chache.
Nakala imfikie Rabbon Pascal Mayalla Mohamed Said
 
The moment umeandika neno "uchawi" nikaacha kusoma. Kama uchawi ungekuwepo basi Tanzania ingekuwa superpower.
 
Japo hazina uthibitisho wa kuaminika, lakini kutokana na hali ilivyo, unaweza ukashawishika kuziamini.

Maelezo ya mtu anayedai kuwa alikuwa Mwenyekiti wa wachawi wa Tanzania kabla ya kuachana nao mnamo mwaka 2000 ni kama ifuatavyo:

1. Tanzania inatawaliwa kwa msaada wa nguvu za kichawi. Kabla ya nchi kupata uhuru, kulifanyika tambiko Bagamoyo lililoikabithi nchi ya Tanganyika kwa Shetani. Kiongozi mkuu wa hilo tambiko alikuwa ni mchawi mashuhuri aliyeitwa Forojo Ganze

2. Mwenge uliasisiwa na tambiko la Bagamoyo. Lengo mojawapo la hilo tambiko ni kuifanya nchi kutawalika

3. Jina la Tanzania ni mpango wa Shetani. Jina ambalo lina baraka za Watanganyika ni Tanganyika, lakini Chama cha siri cha kichawi hawakuliridhia hilo jina kwa sababu lilikuwa likiwakwamishia mambo yao ya kuitawala Tanganyika

4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulilenga kupoteza jina la Tanganyika ili iwe rahisi kwa wachawi kuendesha utawala wa nchi bila bughudha

5. Mwanzoni, ililengwa kuunganishwa Tanganyika na Kenya na Uganda, lakini iliposhindikana, ndipo Zanzibar ilipogeukiwa

6. Katika shindano la kutafuta jina jipya la nchi mbili zilizoungana, walijitokeza watu zaidi ya 1,500, lakini walioshinda walikuwa watu 16. Wote waliibuka na jina la TANZANIA

6. Katika watu 16 waliolibuni jina la Tanzania, ni watu watatu au wanne hivi ndiyo waliofahamika. Hata hivyo, aliyekidhi vigezo vya kukabidhiwa zawadi ni mmoja tu, Ikbaru Mohammed Dar

7. Washiriki wengine ambao hawakufahamika, wanasadikiwa kuwa hawakuwa binadamu, bali majini

8. Maana halisi ya Tanzania kwa mujibu wa Ikbaru Mohammed Dar ni Tan = Tanganyika, Zan = Zanzibar, I = Ikbaru (jina la mtunzi), na A = Ahamadya (Jumuia yake katika dini ya Kiislamu)

9. Siku chache baada ya kupata huo ushindi, baba yake Ikbaru na familia nzima, Ikbaru akiwemo, waliondoka nchini na kuhamia Uingereza. Babaye alishauriwa kuondoka haraka sana nchini ikiwa hataki mabaya yaipate familia yake. Kitendo cha kijana wake kuweka herufi ya jina lake kwenye jina la nchi kiliwakasirisha majini. Ni kama vile aliingia kwenye vita na majini. Alijimilikisha nchi wakati majini yalikuwa yakiamini kuwa wao ndiyo wenye haki ya kuimiliki nchi

10. Chama cha kichawi kinaiendesha nchi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wana "ofisi" yao kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kama Wazee washauri, lakini ukweli ni kwamba wao ni wachawi wanaoitawala nchi kupitia chama chao cha kichawi.

11. Ajali iliyomuua Sokoine mwaka 1984 ilitengenezwa na Chama cha kichawi cha siri kinachoitawala Tanzania kwa sababu Sokoine alikuwa hakubaliani na mambo ya ramli, hivyo hakuwa akiwapa ushirikiano. Alikuwa akiamini katika majani ya miti shamba kama tiba lakini si katika majini na ramli.

12. Chama cha kichawi kinachoitawala Tanzania kwa siri kiliapa kuwa haitatokea kwa mtu aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushika nafasi ya Urais wa Tanzania. Ni mpaka pale utawala wao wa kichawi utakapodhoofishwa au kupinduliwa ndipo mtu aliyewahi kushika huo wadhifa ataweza kuwa Rais. Ikitokea mtu atafanikiwa kushika huo wadhifa, itamaamisha kuwa ana nguvu kubwa za kiroho kukizidi hicho Chama cha kichawi, ama za Mungu au za giza.

Kwa hiyo hata kama Kasim Majaliwa na wengine waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu watatamani kuwa Rais
Japo hazina uthibitisho wa kuaminika, lakini kutokana na hali ilivyo, unaweza ukashawishika kuziamini.

Maelezo ya mtu anayedai kuwa alikuwa Mwenyekiti wa wachawi wa Tanzania kabla ya kuachana nao mnamo mwaka 2000 ni kama ifuatavyo:

1. Tanzania inatawaliwa kwa msaada wa nguvu za kichawi. Kabla ya nchi kupata uhuru, kulifanyika tambiko Bagamoyo lililoikabithi nchi ya Tanganyika kwa Shetani. Kiongozi mkuu wa hilo tambiko alikuwa ni mchawi mashuhuri aliyeitwa Forojo Ganze

2. Mwenge uliasisiwa na tambiko la Bagamoyo. Lengo mojawapo la hilo tambiko ni kuifanya nchi kutawalika

3. Jina la Tanzania ni mpango wa Shetani. Jina ambalo lina baraka za Watanganyika ni Tanganyika, lakini Chama cha siri cha kichawi hawakuliridhia hilo jina kwa sababu lilikuwa likiwakwamishia mambo yao ya kuitawala Tanganyika

4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulilenga kupoteza jina la Tanganyika ili iwe rahisi kwa wachawi kuendesha utawala wa nchi bila bughudha

5. Mwanzoni, ililengwa kuunganishwa Tanganyika na Kenya na Uganda, lakini iliposhindikana, ndipo Zanzibar ilipogeukiwa

6. Katika shindano la kutafuta jina jipya la nchi mbili zilizoungana, walijitokeza watu zaidi ya 1,500, lakini walioshinda walikuwa watu 16. Wote waliibuka na jina la TANZANIA

6. Katika watu 16 waliolibuni jina la Tanzania, ni watu watatu au wanne hivi ndiyo waliofahamika. Hata hivyo, aliyekidhi vigezo vya kukabidhiwa zawadi ni mmoja tu, Ikbaru Mohammed Dar

7. Washiriki wengine ambao hawakufahamika, wanasadikiwa kuwa hawakuwa binadamu, bali majini

8. Maana halisi ya Tanzania kwa mujibu wa Ikbaru Mohammed Dar ni Tan = Tanganyika, Zan = Zanzibar, I = Ikbaru (jina la mtunzi), na A = Ahamadya (Jumuia yake katika dini ya Kiislamu)

9. Siku chache baada ya kupata huo ushindi, baba yake Ikbaru na familia nzima, Ikbaru akiwemo, waliondoka nchini na kuhamia Uingereza. Babaye alishauriwa kuondoka haraka sana nchini ikiwa hataki mabaya yaipate familia yake. Kitendo cha kijana wake kuweka herufi ya jina lake kwenye jina la nchi kiliwakasirisha majini. Ni kama vile aliingia kwenye vita na majini. Alijimilikisha nchi wakati majini yalikuwa yakiamini kuwa wao ndiyo wenye haki ya kuimiliki nchi

10. Chama cha kichawi kinaiendesha nchi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wana "ofisi" yao kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kama Wazee washauri, lakini ukweli ni kwamba wao ni wachawi wanaoitawala nchi kupitia chama chao cha kichawi.

11. Ajali iliyomuua Sokoine mwaka 1984 ilitengenezwa na Chama cha kichawi cha siri kinachoitawala Tanzania kwa sababu Sokoine alikuwa hakubaliani na mambo ya ramli, hivyo hakuwa akiwapa ushirikiano. Alikuwa akiamini katika majani ya miti shamba kama tiba lakini si katika majini na ramli.

12. Chama cha kichawi kinachoitawala Tanzania kwa siri kiliapa kuwa haitatokea kwa mtu aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushika nafasi ya Urais wa Tanzania. Ni mpaka pale utawala wao wa kichawi utakapodhoofishwa au kupinduliwa ndipo mtu aliyewahi kushika huo wadhifa ataweza kuwa Rais. Ikitokea mtu atafanikiwa kushika huo wadhifa, itamaamisha kuwa ana nguvu kubwa za kiroho kukizidi hicho Chama cha kichawi, ama za Mungu au za giza.

Kwa hiyo hata kama Kasim Majaliwa na wengine waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu watatamani kuwa Rais wa Tanzania, hawataweza endapo huo utawala wa kichawi haujapinduliwa. Siyo kwamba hawana sifa, bali misimamo watawala wa gizani haiwakubali

13. Tambiko la kitaifa la 1990 lililofanyika mkoani Lindi, limekuwa na madhara kwa watu wa Lindi waliozaliwa baada ya tambiko hilo(baada ya 1990). Madhara ya hilo tambiko ni pamoja na udumavu wa kielimu na kimaendeleo kwa ujumla.

14. Neno Tanganyika lina asili ya kabila la Kichapu, na maana yake ni nchi yenye rutuba. Kama Tanganyika ingeachwa iendelee kulitumia jina lake la awali kungekuwa na maendeleo zaidi ya ilivyo sasa. Jina la Tanganyika ndilo limebeba baraka za Watanganyika.

Kama ndivyo, kuna haja ya kuendelea kulitumia jina la Tanzania ilhali lenye baraka ni la Tanganyika?

Kwa sehemu naweza kukubalianan na mzungumzaji kuwa huenda ni kweli Muungano ulilenga kulipoteza jina la Tanganyika. Kama sivyo, kwa nini jina la Tanganyika limefichwa wakati la nchi ya ya Zanzibar linaendelea kutumika?

Nimeambatamisha na clips chache.
Nimeipenda hiyo point number 14 . Tuirudishe Tanganyika yetu .
 
Sijui kama kuna uhuru zaidi ya huu mtandaoni.....🙏🏽
Btw historia inatakiwa iwe na facts
So bila facts hyo sijajua ni makala au ni nn....
imekaa poa 🥸
 
The moment umeandika neno "uchawi" nikaacha kusoma. Kama uchawi ungekuwepo basi Tanzania ingekuwa superpower.
Umeshawahi kufikiria sababu ya watu wazima na akili zao kuukimbiza mwenge nchi nzima?

1. Mbio za mwenge unagharimu mabilioni ya fedha

2. Mikesha ya mbio za mwenge ni vichaka vya ulevi na uashersti

3. Hasara ya mbio za mwenge ni nyingi sana lakini bado umekumbatiwa.

Unajua sababu?
 
Japo hazina uthibitisho wa kuaminika, lakini kutokana na hali ilivyo, unaweza ukashawishika kuziamini.

Maelezo ya mtu anayedai kuwa alikuwa Mwenyekiti wa wachawi wa Tanzania kabla ya kuachana nao mnamo mwaka 2000 ni kama ifuatavyo:

1. Tanzania inatawaliwa kwa msaada wa nguvu za kichawi. Kabla ya nchi kupata uhuru, kulifanyika tambiko Bagamoyo lililoikabithi nchi ya Tanganyika kwa Shetani. Kiongozi mkuu wa hilo tambiko alikuwa ni mchawi mashuhuri aliyeitwa Forojo Ganze

2. Mwenge uliasisiwa na tambiko la Bagamoyo. Lengo mojawapo la hilo tambiko ni kuifanya nchi kutawalika

3. Jina la Tanzania ni mpango wa Shetani. Jina ambalo lina baraka za Watanganyika ni Tanganyika, lakini Chama cha siri cha kichawi hawakuliridhia hilo jina kwa sababu lilikuwa likiwakwamishia mambo yao ya kuitawala Tanganyika

4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulilenga kupoteza jina la Tanganyika ili iwe rahisi kwa wachawi kuendesha utawala wa nchi bila bughudha

5. Mwanzoni, ililengwa kuunganishwa Tanganyika na Kenya na Uganda, lakini iliposhindikana, ndipo Zanzibar ilipogeukiwa

6. Katika shindano la kutafuta jina jipya la nchi mbili zilizoungana, walijitokeza watu zaidi ya 1,500, lakini walioshinda walikuwa watu 16. Wote waliibuka na jina la TANZANIA

6. Katika watu 16 waliolibuni jina la Tanzania, ni watu watatu au wanne hivi ndiyo waliofahamika. Hata hivyo, aliyekidhi vigezo vya kukabidhiwa zawadi ni mmoja tu, Ikbaru Mohammed Dar

7. Washiriki wengine ambao hawakufahamika, wanasadikiwa kuwa hawakuwa binadamu, bali majini

8. Maana halisi ya Tanzania kwa mujibu wa Ikbaru Mohammed Dar ni Tan = Tanganyika, Zan = Zanzibar, I = Ikbaru (jina la mtunzi), na A = Ahamadya (Jumuia yake katika dini ya Kiislamu)

9. Siku chache baada ya kupata huo ushindi, baba yake Ikbaru na familia nzima, Ikbaru akiwemo, waliondoka nchini na kuhamia Uingereza. Babaye alishauriwa kuondoka haraka sana nchini ikiwa hataki mabaya yaipate familia yake. Kitendo cha kijana wake kuweka herufi ya jina lake kwenye jina la nchi kiliwakasirisha majini. Ni kama vile aliingia kwenye vita na majini. Alijimilikisha nchi wakati majini yalikuwa yakiamini kuwa wao ndiyo wenye haki ya kuimiliki nchi

10. Chama cha kichawi kinaiendesha nchi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wana "ofisi" yao kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kama Wazee washauri, lakini ukweli ni kwamba wao ni wachawi wanaoitawala nchi kupitia chama chao cha kichawi.

11. Ajali iliyomuua Sokoine mwaka 1984 ilitengenezwa na Chama cha kichawi cha siri kinachoitawala Tanzania kwa sababu Sokoine alikuwa hakubaliani na mambo ya ramli, hivyo hakuwa akiwapa ushirikiano. Alikuwa akiamini katika majani ya miti shamba kama tiba lakini si katika majini na ramli.

12. Chama cha kichawi kinachoitawala Tanzania kwa siri kiliapa kuwa haitatokea kwa mtu aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushika nafasi ya Urais wa Tanzania. Ni mpaka pale utawala wao wa kichawi utakapodhoofishwa au kupinduliwa ndipo mtu aliyewahi kushika huo wadhifa ataweza kuwa Rais. Ikitokea mtu atafanikiwa kushika huo wadhifa, itamaamisha kuwa ana nguvu kubwa za kiroho kukizidi hicho Chama cha kichawi, ama za Mungu au za giza.

Kwa hiyo hata kama Kasim Majaliwa na wengine waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu watatamani kuwa Rais wa Tanzania, hawataweza endapo huo utawala wa kichawi haujapinduliwa. Siyo kwamba hawana sifa, bali misimamo watawala wa gizani haiwakubali

13. Tambiko la kitaifa la 1990 lililofanyika mkoani Lindi, limekuwa na madhara kwa watu wa Lindi waliozaliwa baada ya tambiko hilo(baada ya 1990). Madhara ya hilo tambiko ni pamoja na udumavu wa kielimu na kimaendeleo kwa ujumla.

14. Neno Tanganyika lina asili ya kabila la Kichapu, na maana yake ni nchi yenye rutuba. Kama Tanganyika ingeachwa iendelee kulitumia jina lake la awali kungekuwa na maendeleo zaidi ya ilivyo sasa. Jina la Tanganyika ndilo limebeba baraka za Watanganyika.

Kama ndivyo, kuna haja ya kuendelea kulitumia jina la Tanzania ilhali lenye baraka ni la Tanganyika?

Kwa sehemu naweza kukubalianan na mzungumzaji kuwa huenda ni kweli Muungano ulilenga kulipoteza jina la Tanganyika. Kama sivyo, kwa nini jina la Tanganyika limefichwa wakati la nchi ya ya Zanzibar linaendelea kutumika?

Nimeambatamisha na clips chache.
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu.

1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara wanachukiwa wakienda kule, wanaitwa chogo, na katiba yao inazuia watu wa bara kumiliki ardhi. Juzi nilikuwa Dodoma, kwenda benjamin Mkapa kwenye kona ya Udom, kuna migorofa fulani hivi imejengwa, wanasema karibu na vile vijengo vya majaji, wengine wanamtaja mzanzibari fulani anamiliki hiyo migorofa. tukisema wazanzibar leo hii muungano umevunjika waondoke, wengi wataanza kuuza nyumba nyingi na ardhi kubwa wanayoimiliki. KWANINI BARA HATURUHUSIWI KUMILIKI KULE? faida yao ni nini?

2. kwenye ajira, hii ni kero, wazanzibar maelfu na maelfu wameajiriwa bara, hata kwenye mambo yasiyo ya muungano, wameajiriwa bara ambayo kiukweli ipo bara kwasababu zanzibar kuna utawala wao, lakini wabara hawaruhusiwi kabisa kuajiriwa zanzibaar, hii ni kero, inatakiwa iondolewe, ama la kila mtu abaki kwake.

3. wazanzibar wanakuwa wabunge kule kwao, na huku. akiwa mbunge kule kwao, atakula masurufu ya kule na atakuja kula masurufu ya bara kwa kodi za watu wa bara. tuambieni, yale mipesa wanaku wabunge 50 wa zanzibar wanakiula, zanzibar huwa imechangia bei gani? ni pesa za walipa kodi wa bara. na hao hao wakifika huku wakishiba, wanasenma twende kule kwa passport, kwa msiojua, kile ameongea yule mbunge wa zanzibar kwamba wabara twende kwa passport kwao ndicho kilichopo kwenye mioyo ya wazanzibari wote hata wenye mamlaka huku na hata walioajiriwa huku na hata wanaomiliki ardhi huku, amesema kilichopo kwenye mioyo ya wengi. wala hatakiwi kulaumiwa. kwa waliofika zanzibar wanajua kuwa hicho ndio huwa matamanio yao.

4. mzanzibar anaweza kuwa Mkuu wa wilaya, mkoa, na waziri bara, ila sisi kule marufuku. kwanini?

nimeongea hayo kwa uchache tu, lakini ukweli mwingi hata wanaopinga wanaujua, kama tunataka muungano uwepo, ondoeni kero hizi kwa watu wa bara, ama la, kila mtu achukue hamsini zake kwasababu hakuna kitu wabara wanafaidika nacho as of now. na hawajawahi kufaidika. watu wasioelewa watasema huu ni uchochezi, ila jibuni kwa hoja kama mnazo.
 
Back
Top Bottom