Inasikitisha kuona uongozi wa Seriakli ya Tanganyika ukikimbilia vita kwa nchi kama Malawi bila hata ya kufikiria kwa undani athari na matokeo yake, letu jicho tuuu.
Lakini hicho kinachogombaniwa ktk ziwa hilo tujiulize kimetunufaisha vipi kwa wakati huu ambao tayari tuna gasi, maadini ya aina tofauti ndani ya mipaka yetu na hakuna liwalo zaidi ya ufisadi????
Hapo kuna picha inatueleza kuwa Tanganyika italazimika kutumia nguvu au kuipiga na kuinyanga'nya Zanzibar ikiwa watajaribu kuchimba mafuta na gasi yao.
Lakini hicho kinachogombaniwa ktk ziwa hilo tujiulize kimetunufaisha vipi kwa wakati huu ambao tayari tuna gasi, maadini ya aina tofauti ndani ya mipaka yetu na hakuna liwalo zaidi ya ufisadi????
Hapo kuna picha inatueleza kuwa Tanganyika italazimika kutumia nguvu au kuipiga na kuinyanga'nya Zanzibar ikiwa watajaribu kuchimba mafuta na gasi yao.