KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
habari za kutwa,
Jamani,nalilia mji wangu,mji ambao upo kando kando ya bahari ya hindi,mji ambao ulikuwa mjii mkuu wakati wa ukoloni wa ujerumani,mji ambao una kila neema.lakini najiuliza wapi tulipokosea na kuufanya mji huo ambao miaka ya nyuma ulikuwa mji ambao umechangamka.sasa hivi ukitembea mjini tanga unaweza kuogopa kuona majumba ya zamani ambazo zimebomoka,kati kati ya mji,esp kwenye mitaa ya benki,yaani inatia huruma kama mji ulikuwa kwenye vita vile.najiuliza kama hayo majumba hayana mwenyeji,mbona NHC zisichukue na kushusha magorofa kwa ajili ya wananchi kukaa?majumba yote ya tanga yamechoka,imagine mgeni anapotembelea barabara hiyo ya benki na kukuta majumba yaliyoanguka bila kitu chchote kuendelea hapo?mbona mji mzuri kama wa tanga umelemaa?mbona serikali isiseme,investment dar es salaam basi,watu wa invest mkoani.na esp tanga ambapo kuna bandari?barabara hapo hapo mtaa wa benki ambapo ni katikati ya jiji,imechoka ile mbaya,yaani barabara ya kilometa kama mbili inashindwa kutengenzwa?jamani,nalilia mji wangu,mji ambao ungechangamka,ingekuwa sehemu moja safi kuishi hapa tanzania.jamani,naomba watu wa tga mliopo hapa,tuungane tubadilishe jiji letu liwe kwenye hadhi ya jiji haswa,na siyo jiji kwa maneno tu.angalau barabara za katikati ya mji zitengenzwe.barabara kutoka ghorofa la tanesco mpaka chumbageni ni hovyo sana.hapo ni centre of the town.mbona uchumi umekufa?what is the reason behind?taa za barabarani pia ni za kuhesabu.kuna tourist attraction nyingi tu,lakini hukuti watalii?why?pls god bless our beautiful town and make it once a heaven,god we pray tht the economy of the town revive again,our roads be repaired,old houses be refurbished,and those collapsed one have the final solution.god bless tanga,god bless tanzania.
Jamani,nalilia mji wangu,mji ambao upo kando kando ya bahari ya hindi,mji ambao ulikuwa mjii mkuu wakati wa ukoloni wa ujerumani,mji ambao una kila neema.lakini najiuliza wapi tulipokosea na kuufanya mji huo ambao miaka ya nyuma ulikuwa mji ambao umechangamka.sasa hivi ukitembea mjini tanga unaweza kuogopa kuona majumba ya zamani ambazo zimebomoka,kati kati ya mji,esp kwenye mitaa ya benki,yaani inatia huruma kama mji ulikuwa kwenye vita vile.najiuliza kama hayo majumba hayana mwenyeji,mbona NHC zisichukue na kushusha magorofa kwa ajili ya wananchi kukaa?majumba yote ya tanga yamechoka,imagine mgeni anapotembelea barabara hiyo ya benki na kukuta majumba yaliyoanguka bila kitu chchote kuendelea hapo?mbona mji mzuri kama wa tanga umelemaa?mbona serikali isiseme,investment dar es salaam basi,watu wa invest mkoani.na esp tanga ambapo kuna bandari?barabara hapo hapo mtaa wa benki ambapo ni katikati ya jiji,imechoka ile mbaya,yaani barabara ya kilometa kama mbili inashindwa kutengenzwa?jamani,nalilia mji wangu,mji ambao ungechangamka,ingekuwa sehemu moja safi kuishi hapa tanzania.jamani,naomba watu wa tga mliopo hapa,tuungane tubadilishe jiji letu liwe kwenye hadhi ya jiji haswa,na siyo jiji kwa maneno tu.angalau barabara za katikati ya mji zitengenzwe.barabara kutoka ghorofa la tanesco mpaka chumbageni ni hovyo sana.hapo ni centre of the town.mbona uchumi umekufa?what is the reason behind?taa za barabarani pia ni za kuhesabu.kuna tourist attraction nyingi tu,lakini hukuti watalii?why?pls god bless our beautiful town and make it once a heaven,god we pray tht the economy of the town revive again,our roads be repaired,old houses be refurbished,and those collapsed one have the final solution.god bless tanga,god bless tanzania.