Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,123
- 173,977
Huyo atakuwa kateleza tu brake zilizingua maana maji na topeSpeed ya 80 kph siyo ndogo kwenye ajali. Naona utelezi au issue ya overtaking then katumbukia darajani. Ajali zipo na zitaendelwa kuwepo. Halafu leo Jumapili mabasi yanajiachiaga sana.