Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,749
Halafu wafike mwaka kesho wanakokwenda sio?
Ndiyo maana wahenga walipata kusema “kawaia ufike salama”
Au unaonaje ipi nzuri kufika kesho mtu akiwa salama au afike leo lakini akafikie Bombo/Tumbi au Moi?