Taneso mzumbe mbona umeme mmepeleka kwa wana ccm tu

Man 4 M4C

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
743
114
Tanesco Morogoro ilichangisha wananchi wa mzumbe gharama za service line na hatimayake umeme ulipelekwa kwa watu wachache tu. Mafundi walipopeleka nguzo hadi kwa wananchi wengine kilichotokea ni kwamba kada wa ccm alilipoti kuwa umeme kwanini upelekwe kwa wapinzani,mafundi waliohusika na kujenga laini walisimamishwa kazi na hadi leo hawajarudishwa kazini na nguzo zimebaki palepale.

Swali:
  • Tanesco Morogoro ninyi mnafanya kazi ya kichama au ya wananchi wote walipa kodi ya tanzania?
  • Manager wa tanesco morogoro ulikuwepo kwenye kupanga,leo inakuwaje unawa/msimamisha mtumishi wako kazi kwa sababu ambazo hazina mashiko?
  • Je unaongozwa na wanasiasa?
  • Je unajua kwa kufanya ulichokifanya unakosesha taifa mapato?
 
Tanesco Morogoro ilichangisha wananchi wa mzumbe gharama za service line na hatimayake umeme ulipelekwa kwa watu wachache tu. Mafundi walipopeleka nguzo hadi kwa wananchi wengine kilichotokea ni kwamba kada wa ccm alilipoti kuwa umeme kwanini upelekwe kwa wapinzani,mafundi waliohusika na kujenga laini walisimamishwa kazi na hadi leo hawajarudishwa kazini na nguzo zimebaki palepale.

Swali:
  • Tanesco Morogoro ninyi mnafanya kazi ya kichama au ya wananchi wote walipa kodi ya tanzania?
  • Manager wa tanesco morogoro ulikuwepo kwenye kupanga,leo inakuwaje unawa/msimamisha mtumishi wako kazi kwa sababu ambazo hazina mashiko?
  • Je unaongozwa na wanasiasa?
  • Je unajua kwa kufanya ulichokifanya unakosesha taifa mapato?

Mlilipishwa swrvice line, si mnatakiwa muwe mumeungiwa umeme? Sasa imekuwaje? Risiti si mnazo?
 
Back
Top Bottom