Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Tatizo si Tanesco, tatizo ni uongozi mzima wa Taifa. Maneno mengi bila ya vitendo. Wanaangalia matumbo yao basi. Hata watalaam wa Vietnam na China wanatushanga kwa nini tu maskini wa kutupwa, wakati maliasli ni nyingi mno za kutufanya tuendelee. Sitashangaa hata kidogo ukichukua wilaya moja ukawapa Wajapan ikawa nchi yao, Tanzania iliyobaki itaenda kuomba misaada eneo hilo baada ya muda mfupi. JK aliwahi kusema hajui kwa nini nchi ni maskini nasi tukamapa uongozi. Unatarajia nini?Tanzania ninayoifahamu hata kama tukibadilishana Uingereza ihamie bongo na bongo ihamie uingereza tusitegemee jipya tutakalofanya huko. Ila waingereza wataibadili bongo within short time amini usiamini
mmmh mungu atusaidie.