ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Jamani ghafla umeme umekatika sekunde chache kabla upinzani kuwasilisha
Bajeti ya mambo ya Muungano na Mazingira.
Ni ajabu lakini hali hii imetoka. Serikali na TANESCO yao wapumbavu kweli.
Sijui watakuwa wanafanya hivi hadi lini na kwa faida ya nani?
Hebu mlioko mikoani tujuzeni kama na nyinyi mmekutwa na hii kadhia.
Bajeti ya mambo ya Muungano na Mazingira.
Ni ajabu lakini hali hii imetoka. Serikali na TANESCO yao wapumbavu kweli.
Sijui watakuwa wanafanya hivi hadi lini na kwa faida ya nani?
Hebu mlioko mikoani tujuzeni kama na nyinyi mmekutwa na hii kadhia.