Yaani nimekuwa maeneo kadhaa ya nchi kwa wiki hii toka Arusha Tanga Mpaka Mbeya umeme ni shida baadhi ya maeneo wanakata asubuhi mpaka saa tano usiku, na hio ni ratiba ya kila siku hawana Jumapili, Jumamosi, wala Ijumaa na kibaya kuliko vyote ni waongo kama kuna mgao waseme ili wagawe kwa ratiba maalum hii ni aibu ya shirika kwa Taifa. Kuweni wa kweli hata kwa sekunde moja
 
KUNA FUNDI LENU LA TANESCO HUKU IFAKARA LILA RUSHWA NIMELIBANABISHA MA TAKUKURU HADI LITAOMBA POOH MWAKA HUU LILIZOEA KUWAIBIA WATU KWA KUOMBA RUSHWA NDO LITOE HUDUMA LINAITWA ROBERT MPEHO LITAKUWA FUNZO KWA WENGINE HAPO TANESCO KWA KUOMBA RUSHWA.
 
Yaani nimekuwa maeneo kadhaa ya nchi kwa wiki hii toka Arusha Tanga Mpaka Mbeya umeme ni shida baadhi ya maeneo wanakata asubuhi mpaka saa tano usiku, na hio ni ratiba ya kila siku hawana Jumapili, Jumamosi, wala Ijumaa na kibaya kuliko vyote ni waongo kama kuna mgao waseme ili wagawe kwa ratiba maalum hii ni aibu ya shirika kwa Taifa. Kuweni wa kweli hata kwa sekunde moja
Nipo shinyanga hapa sasa hivi wamekata kurudi majaliwa
Wangetuweka wazi Tu kuwa kuna mgao tujue
 
Hivi sasa hivi kuna mgao unaendelea nchini? Maana maeneo ninayoishi shinyanga kila jumapili saa moja kasoro umeme unakatika kurudi sijui saa ngapi maana inakuwa usiku mwingi
Ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi, na pole sana kwa usumbufu mnaopitia kwa sasa, tumepokea taarifa ya hitilafu kwenye line mkuu mkoa wa shinyanga, hivyo ina lazimika kuzima kwa awamu kupisha matengenezo kwenye miundombinu ya umeme,Tunawaomba radhi kwa adha yeyote mliyopitia wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo ^EB
 
Oya tanesco inakuaje umeme unakatika alafu ndani ya dakika mbili unarudi? Je ndio mnatuonyesha kwamba mpo makini au unavyokatika na kurudi inakua hitilafu gani. Muelewe point kwamba umeme unakatika ndani ya dakika mbili au moja unarudi.

Hvi mmejiskiaje baada ya waziri pendwa kuhamishwa hebu tupeni experience mlivyofanya nae kazi kuna mtu au upara wa bure.
 
Maombi haya hayajafanyiwa kazi mteja ameomba mara ya kwanza Hadi amerudia mara ya pili mpaka Leo hajapata msaada naomba msaada tafadhali.
IMG-20230912-WA0135.jpg
IMG-20230912-WA0134.jpg
 
Back
Top Bottom