Itakuwa ni luku Kwani mama hayupo leo?Ikulu hamna umeme
Naamini leo upoMie huku Dodoma wamekata
N wauza tochi na solarHaya sasa, fursa kwa wauza majenereta.
Mwanza NzimaTanesco kuna shida gani Mwanza kila siku umeme mnakata, maeneo ya Mecco, Nyasaka, Lumala, Pasiasi
Mwanza Nzima