Labda kuna kitu kinaendelea hatujui hapa dumila maana imekua kero sana.TANESCO hivi Dumila Sisi Ni watu wa Burundi au Congo
Maana kwenye suala la umeme yaani Ni kama hatupo Tz Ni mwendo wa kukatakata mnavyojisikia
Huenda hilo nalo linachangia sababu baishara ya solar Na majenereta imepamba Moto saanaLabda kuna kitu kinaendelea hatujui hapa dumila maana imekua kero sana.
Au kuna mtu anauza magenerator au solar anataka business yake iwe imara
Maana too much imezidi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona yale maboresho ya siku 10 walikua wanaboresha jinsi ya kukataYaani toka asubuhi Hadi Sasa Hakuna umeme Na tunatoa malalamiko hawana habari sababu wao mishahara Yao IPO palepale
Kazi Za connection Shida saana
Aisee hawa tanesco naona wanadharau sana paka sasa hawajarudisha umemeKuanzia Dar Hadi Mwanza au tusema Dar Hadi Kigoma
Hakuna sehemu kwenye parking ndefu ambako Ni tegemeo la malori kama Dumila. Na ndio sababu hapo nyuma kukaa Giza hili Eneo ilikuwa Ni mwiko Ila chini ya Awamu ya Makamba imeonekana Ni Jambo la Kawaida labda siku muanze kusikia milipuko ya magari Na chanzo Ni ukosefu wa Umeme labda ndio mtajua kuwa umeme unausalama mkubwa Eneo Hili haswa Kwa hawa wezi waliochanganya
Paka dakika hii hakuna umeme hawa tanesco wanatuonaje sijui alafu ni kila siku yaaniYaani hata Makamba alipoivunja Ile customer care SIO sababu Ni wabaya Ila Ni sababu alikuwa Na watu wake ambao ameona awachomeke Na ndio madhara yake haya
Mikakati ya kukatikakatika umeme au jinsi uongozi wa TANESCO unavyoendesha shirika?Usikose kipindi maalum cha TANESCO mubashara kupitia UTV - Azam channel 108 wakizungumza na jukwaa la wahariri juu ya mikakati yake katika kuboresha huduma ya umeme nchini, ni Jumanne hii kuanzia saa 3:00 za usiku.
#TupoKaziniView attachment 2126968
Na mvua hii paka kesho hawa
Tuhurumieni watu wa Masasi jamani huduma ya umeme ni mbovu sana utafikiri siyo sehemu ya nchi nzuri ya Tanzania. Zima waka ni nyingi mno + low voltage za hapa na paleUsikose kutazama marudio ya kipindi maalum cha TANESCO kupitia ITV wakizungumza na jukwaa la wahariri juu ya mikakati yake katika kuboresha huduma ya umeme nchini, leo Jumatano kuanzia saa 3:00 za usiku.
#TupoKaziniView attachment 2128337