Mwanzo walituona vilaza hatujui umeme wakidhani wao tu wamesomea walidai vikombe vilijaa udongo uliosababisha uzito baada ya kulowa na mvua!Ni miezi miwili sasa umeme umekuwa ukikatika kila wakati kwa maeneo na mikoa taofauti na mbaya zaidi nyakati za usiku sana unakuta umeme umekatika huku tukijua kuwa umeme nao ni sehemu ya ulinzi kwa baadhi ya mitaa kwa hapa Dar es salaam.
Na shirika hili la umeme limekuwa kimya kabisa hasa baada ya Prof Muhongo kuondolewa katika nafasi ya uwaziri wa Nishati na Madini kuhusu masula ya umeme kukatika katika na hata maendeleo ya kusambaza umeme kupitia upatikanaji wa gesi ya Mtwara.
Pamoja na kuwa na Gesi ya Mtwara ambayo tuliamini ndiyo mkombozi wa umeme hapa nchini lakini imekuwa kinyume chake kabisa.
Nilisikia kuna watoto walifariki waliokuwa ndani vyumba vya incubator katika hospitali moja hapa nchini baada ya umeme kukatika na hao watoto njiti ndiyo walikuwa wanategemea kuishi kwa huo umeme kwa joto na hewa ya oxygen.
TANESCO tafadhali jitahidini kutoa huduma kwa uhakika ya umeme kwasababu umeme ndiyo kila kitu hapa duniani.
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji mpendea mtejaTransfoma imelipuka tangu ijumaa na umeme mpaka sasa hakuna kwenye line ya hii transfoma
Hii transfoma ipo maeneo ya chuo cha teku ,mitaa ya block T jijini Mbeya
View attachment 712322
Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji mpendea mteja
Acha unafiki wewe,wewe ni KE au ME??Tanesco mnaibiwa umeme na wajaja mtaani, natamani kuwasaidia kuwakamata wezi lkn sioni faida nitakayopata.
Nikiwa me/ke haikusaidii lolote ukijua, na kama wewe ni miongoni mwao wezi wa umeme ni heri ukaacha kuiba maana imeandikwa ktk Bible USIIBEE!Acha unafiki wewe,wewe ni KE au ME??
Umeme umekatika Malya, Kwimba mkoani Mwanza tangu jana saa tano asubuhi mpaka muda huu hakuna dalili yoyote ya huduma ya umeme kurejea, mnampango gani na wananchi wa eneo hilo?Tumepokea taarifa kwa ufatiliaji mpendea mteja
Aisee kila siku wanakata,Kama hapa mjini umeme unakatika hivi na mda mrefu kiasi hiki watoto watakula nini sisi tunaotegemea umeme kuendesha shughuri zetu?
Je kama hapa hapa mjini uko hivi uko vijijn itakuwaje ?
Mamlaka jitaidin mrudishe umeme
Sijui watendaji wamesafri na mh raisAisee kila siku wanakata,