Pole sana,tanesco wana ujinga huo sana tu.wanataka utoe hela kidogo ndio wakufuate.sasa watengenezee mazingira hayo ila washirikishe maafisa wa Takukuru ili na ww uwakomeshe.
Tunaomba taarifa kamili ya unachokisema tuifanyia kazi
 
Asante sana, kwa kutuomba waoni yetu. Maoni yangu ni kama ifuatavyo: Taasisi ya umma kama Tanesco kuna haja ya kujiendesha kijasiriamali na kuachana na mfumo huu wasasa mnaoendelea nao.

Kwanini hamuoni haja ya kusajili wateja wapya ili muweze kuwapatia huduma. Kuna makazi / miji mipya mingi saana inayoendelea kukua kutokana na ongezeko la watu.

Lakini pamoja na ongezeko hili la watu na makazi mmeshindwa kuendana na kasi kwa kuwasambazia miundombinu ya umeme ili waweze kuunganishwa na hatimae kupata huduma za umeme!! Kwanini hamuoni haja ya kuunganisha wateja wapya katika maeneo yenye makazi mapya tembeleeni Morogoro, Kihonda, Mkundi,Kiegea kote huko nimeshangaa saana kuona idadi ya makazi mapya yenye kupendeza hakika, lakini yoooote yako gizani!!

Amkeni sasa muache kukaa maofisini wakati watu wanahitaji huduma zenu.
 
Asante sana, kwa kutuomba waoni yetu. Maoni yangu ni kama ifuatavyo: Taasisi ya umma kama Tanesco kuna haja ya kujiendesha kijasiriamali na kuachana na mfumo huu wasasa mnaoendelea nao. Kwanini hamuoni haja ya kusajili wateja wapya ili muweze kuwapatia huduma. Kuna makazi / miji mipya mingi saana inayoendelea kukua kutokana na ongezeko la watu. Lakini pamoja na ongezeko hili la watu na makazi mmeshindwa kuendana na kasi kwa kuwasambazia miundombinu ya umeme ili waweze kuunganishwa na hatimae kupata huduma za umeme!! Kwanini hamuoni haja ya kuunganisha wateja wapya katika maeneo yenye makazi mapya tembeleeni Morogoro, Kihonda, Mkundi,Kiegea kote huko nimeshangaa saana kuona idadi ya makazi mapya yenye kupendeza hakika, lakini yoooote yako gizani!! Amkeni sasa muache kukaa maofisini wakati watu wanahitaji huduma zenu.
Tunashukuru kwa maoni mpendwa mteja tumeyapokea

Pamoja na ushauri mzuri sana Shirika linakujulisha kuwa kuna miradi mingi sana ikiwemo ya Umeme Vijijini (REA) ambayo imeshakamilika na mingine inaendelea.Utakuwa shahidi kuwa maeneo mengi mijini na vijijini yamepata umeme na kasi ya kusambaza umeme ni kubwa sana.

Hivyo tunawaomba wateja wetu muendelee kutuunga mkono kwa kulinda miundombinu pamoja na kulipa stahiki zote kwa wakati.
 
MIMI NILINUNUA UMEME KWA AIRTEL MONEY ILIKUWA TRH 02/06/17 KWA BAHATI MBAYA SIKUPATA SMS ZA TOKEN HADI LEO NA NIMEWAPIGIA AIRTEL WAKASEMA NIWASILIANE NANYI KWA MSAADA ZAIDI NAOMBA KUSAIDIWA TAFADHARI:
1. NAMBA: 0687237985
2.KIASI: 10,000
3.TRH: 02/06/2017
4.MUDA: 11:20 AM
4.LUKU NO: 54150156559
 
Swala ni ninyi kuwaunganishia huduma ya umeme wateja wapya kwenye makazi yanayo kua kwa kasi yaliyo nje ya miradi ya RURAL Energy Agency (REA).

Maana wananchi wanakaa miaka nenda rudi huduma ya kuunganishiwa umeme hakuna. Hili lifikirieni kwa jicho la kijasiriamali hebu fikirieni kama TANESCO ingekuwa ni mali yenu binafsi mnekuwa mnaiendesha kama mnavyoiendesha sasa???

Yaani wateja watarajiwa wapoo wanakiu ya huduma ninyi wala hata hamjali?? Msaidieni Raisi Magufuli kutransform Tanzania sio kuididimiza Tanzania.
 
Naomba mawazo yenu kwa tatizo hili: natumia unit 8 kutwa.

Nina frigdge moja ndogo, taa energy saver kama 5 zinawaka saa 12 a day, tv mbili zinatumika kama saa 5 a day, . Nadhani unit 8 a day huu ni umeme mwingi ninao tumia.

Tatizo linaweza likawa wapi? Nimeleta fundi akacheki wiring akasema iko vizuri.

Ushauri tafadhali.

Asante
Unapaswa kuangalia yafuatayo :
1. Zima kila kitu na uchunguze kama bado kuna Unit ina/zinasogea , kama ukiona zinasogea wakati kila kitu kipo unplugged/disconnected basi ujue kuna shida ya ziada

2. Hakikisha switch socket ya vitu kama ving'amuzi au deki vimezimwa wakati ambao havitumiki au unapokuwa umelala

3. Angalia taa zako zina Watts ngapi ...kwa kawaida matumizi ya nyumbani inashauriwa taa moja at least isizidi 18Watts , kuwa na mwanga mkali sana sio salama pia kwa afya yako

4. Jaribu ku control matumizi ya vitu kama Deep freezer/Fridges au dishwashers , AC etc

5. Jifunze namna ya kujua Capacity ya vitu vyako vya umeme , hapo naona umehesabu tu idadi ya vitu ulivyonavyo na masaa vinafanya kazi , hiyo haitoshi unapaswa kujua yafuatayo
  • TV yako inatumia Watts ngapi
  • Ceiling Fan -Deep freezer
  • Taa
  • na appliances zote lazima ujue
Then Jumlisha na ujue unavifaa vinavyotumia umeme kiasi gani kwa ujumla wake then ndio upange matumizi sasa , Kupanga ni Kuchagua
6. Wiring yako uliifanya kwa kutumia cable za aina gani hapa nazungumzia QUALITY , kama ulinunua za bei rahisi na ambazo hazijathibitishwa na TBS lazima uumie hasa .

Naomba niishie hapa kwa leo zaidi labda unaweza ni DM nikakushauri zaidi .
Pia wengine ngoja waje watasaidia kushauri .
 
Unapaswa kuangalia yafuatayo :
1. Zima kila kitu na uchunguze kama bado kuna Unit ina/zinasogea , kama ukiona zinasogea wakati kila kitu kipo unplugged/disconnected basi ujue kuna shida ya ziada
2. Hakikisha switch socket ya vitu kama ving'amuzi au deki vimezimwa wakati ambao havitumiki au unapokuwa umelala
3. Angalia taa zako zina Watts ngapi ...kwa kawaida matumizi ya nyumbani inashauriwa taa moja at least isizidi 18Watts , kuwa na mwanga mkali sana sio salama pia kwa afya yako
4. Jaribu ku control matumizi ya vitu kama Deep freezer/Fridges au dishwashers , AC etc
5. Jifunze namna ya kujua Capacity ya vitu vyako vya umeme , hapo naona umehesabu tu idadi ya vitu ulivyonavyo na masaa vinafanya kazi , hiyo haitoshi unapaswa kujua yafuatayo
- TV yako inatumia Watts ngapi
- Ceiling Fan -Deep freezer
- Taa
- na appliances zote lazima ujue
Then Jumlisha na ujue unavifaa vinavyotumia umeme kiasi gani kwa ujumla wake then ndio upange matumizi sasa , Kupanga ni Kuchagua
6. Wiring yako uliifanya kwa kutumia cable za aina gani hapa nazungumzia QUALITY , kama ulinunua za bei rahisi na ambazo hazijathibitishwa na TBS lazima uumie hasa .

Naomba niishie hapa kwa leo zaidi labda unaweza ni DM nikakushauri zaidi .
Pia wengine ngoja waje watasaidia kushauri .
asante sana. ngoja nifanya haya uliyonishauri. Asante tena na tena
 
MIMI NILINUNUA UMEME KWA AIRTEL MONEY ILIKUWA TRH 02/06/17 KWA BAHATI MBAYA SIKUPATA SMS ZA TOKEN HADI LEO NA NIMEWAPIGIA AIRTEL WAKASEMA NIWASILIANE NANYI KWA MSAADA ZAIDI NAOMBA KUSAIDIWA TAFADHARI:
1. NAMBA: 0687237985
2.KIASI: 10,000
3.TRH: 02/06/2017
4.MUDA: 11:20 AM
4.LUKU NO: 54150156559
Umeme wako 1957 4794 5695 4146 6481
 
Me naswali nikiitaji kuhamisha luku mfano toka ubungo to mbezi ya kimara je inawezekana?
Na inabidi nifate utaratibu gani?
 
Me naswali nikiitaji kuhamisha luku mfano toka ubungo to mbezi ya kimara je inawezekana?
Na inabidi nifate utaratibu gani?
Kwa taratibu zetu mita haiamishiwi.tunakushauri uombe mita mpya kwa gharama mpya ya eneo lako
 
Usambazaji wa nguzo kupitia REA kwa mkoa wa Mtwara wilaya ya Masasi na baadhi ya vijiji vyake kama vile Mbonde, Mwenge Mtapika, Namkungwi ni wa kustaajabisha kwani wakazi wa pembezoni pekee ndio wanufaika huku walio ndani ni kitendawili kwani nguzo hazijawafikia.

Hivyo nahitaji ufafanuzi kwani ni tofauti na sehemu zingine kama vile kijiji cha Hanga Monastery, Mlilayoyo, Mawa, nk wilayan Namtumbo - Ruvuma.
 
TANESCO TAFADHALI NAOMBA MNISAIDIE NATUMIA UMEME UNIT NDOGO SANA KWA MWEZI HATA 65 HAZIFIKI KWA MWEZI LAKINI NAONA BEI YA MANUNUZI WA UMEME BADO NI YA WATUMIAJI WAKUBWA MLISEMA HUA INABADILIKA AUTOMATICALLY HAMNA KITU. METER NO. NI 24217491554
Tanesco vipi mbona wengine hatusaidiwi mliniambia niwaandikie namba ya mita niliwaandikia naona kimya hamnitendei haki kulingana na kanuni zenu mimi ni mtumiaji wa chini sana wa umeme.

Malalamiko yangu naona mnayapuuza tu
 
Hapa kwangu maeneo ya sinza kuna nguzo kubwa imeoza na kukatika chini karibia mwaka sasa yani inashikiliwa na zile support za waya wa chuma nimeshareport zaidi ya mara 1 lakini hamna kilichofanyika
 
Hapa kwangu maeneo ya sinza kuna nguzo kubwa imeoza na kukatika chini karibia mwaka sasa yani inashikiliwa na zile support za waya wa chuma nimeshareport zaidi ya mara 1 lakini hamna kilichofanyika
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO

1.JINA.....................................

2.SIMU....................................

3.MKOA...................................

4.WILAYA................................

5.MTAA/KIJIJI/KATA.........

6.JINSI YA KUFIKA................

7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................

8.NAMBA YA MITA................

9.TATIZO LAKO.....................


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Hapa kwangu maeneo ya sinza kuna nguzo kubwa imeoza na kukatika chini karibia mwaka sasa yani inashikiliwa na zile support za waya wa chuma nimeshareport zaidi ya mara 1 lakini hamna kilichofanyika
Mpendwa mteja tumekuwa tukiomba taarifa kamili ili kutoa huduma husika
 
Back
Top Bottom