Ok, thanksTafadhali toa taarifa ofisi ya eneo lako au fika nacho kesho ofisini
Asante TANESCO, maafisa walifika 12-Jan na walitatua tatizo.Ahsante sana
Kutokana na huduma ya uzi huu.Hii mpaka wataalamu wetu wa eneo lako wafike kwako
Tafadhali tambua mteja halipi nguzo wala mita kwa kuwa vyote hivi ni mali ya TANESCO bali mteja analipia gharama halisi ya kuunganishiwa umeme ambapo vijijini ni 27000 mijini 321000 ndani ya mita 30 kutoka kwenye miundombinu iliyopoKutokana na huduma ya uzi huu.
Nadhani kipekee nahisi kujivunia TANESCO, kwanza siku hizi mmetambua kuwa nyie ni watoa huduma na sio wapigaji Kama zamani. HONGERENI.
Naomba kuuliza mambo kadhaa.
1-Aina ya matumizi
2-Bei halisi ya unit moja
3-Bei halisi za meter.
4-Bei halisi ya nguzo.
5-Siku ngapi toka mteja amelipia TANESCO mnai giza umeme
Asanten.
Mteja anaweza kufungiwa umene mara moja baada ya kulipia au kwa kuzingatia waliolipia mbele yakeKutokana na huduma ya uzi huu.
Nadhani kipekee nahisi kujivunia TANESCO, kwanza siku hizi mmetambua kuwa nyie ni watoa huduma na sio wapigaji Kama zamani. HONGERENI.
Naomba kuuliza mambo kadhaa.
1-Aina ya matumizi
2-Bei halisi ya unit moja
3-Bei halisi za meter.
4-Bei halisi ya nguzo.
5-Siku ngapi toka mteja amelipia TANESCO mnai giza umeme
Asanten.
Fika nayo ofisi ya eneo lako utawajibika kulipia ili kupatiwa remote nyingineNaomba kuuliza utaratibu wa kutengeneza mita ya kuingizia umeme(zile ndogo) kwani ilianguka na kioo hakifanyi kazi.
Niko Dar Es salaam
Natanguliza shukrani
Gharama yake bei gani?Fika nayo ofisi ya eneo lako utawajibika kulipia ili kupatiwa remote nyingine
Tafadhali onyesha namba yako ya simu na namba uliyotuma messageHabari..
Kutoka Chanika, mtaa wa gogo kwa ndevu mbili..
Umeme umekatika leo siku ya tatu, umewahi kufanya hivyo mwaka jana mwezi wa 10, ambapo ulikatika kwa siku 7 mpaka walipokuja Tanesco kurekebisha...
Ila kila tukipiga simu kwa meneja wa Tanesco kisarawe hapokei simu, na ukimtumia meseji ya malalamiko anabloku namba..
Vitu vinaharibika kwenhe friji, na hapa tunajua ili tusaidiwe ni mpaka huyu meneja mwenye kiburi ajisikie, tumewahi hadi kufika ofisini kwake na kulalamika lakini hatupati msaada..
Tafadhali onyesha namba ya simuKiukweli Kuna shida Sana Tanesco Mikocheni Dar,haiwezekani mteja amelipia mita ya 3 phase tangu 11/11/2020 mpaka leo wanasema mita hizo hazijafika,ivi kama hapa mjini ni shida hivi itakuaje kwa watu huko vijijini wenye viwanda vidogo vidogo?
Nimejulishwa kuwa wameshapeleka,asanteTafadhali onyesha namba ya simu