GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Wazanzibar wa leo sio wale wa 1964 walipinduliwa.
Kama ni kudaiwa Zanzibar haidaiwi billioni 50.4 na TENESCO , kwani ndio tupo kwenye Muungano huo wanaoutaka wao. Kuibeba Zanzibar na kuiwakilisha kwa Kheri na Shari. wakati wa madeni ya Zanzibar kuna Mikataba ya kibiashara, lakini ukija kwenye ugawaji wa ruzuku na mapato au Misaada inayopatiwa serikali ya Tanganyika kwa koti la Muungano hapa hakuna mikataba . bali kuna wewe KANCHI KADOGO TU utapata 0.5.
Sasa nakuja katika kupigiana hesabu ya madeni Tanganyika inadaiwa na Zanzibar tokea siku waliofanya MUUNGANO FACK 24.4.64. Siku ile ndio
Serikali ya Tanganyika ili ibiya Zanzibar mpaka hivi sasa naandika maoni haya basi serikali ya Tanganyika inaendelea kuidhulumu Zanzibar. Mfano. ABAAZANZIBAR katoa machache na mimi naongezea.
1. Balozi zote za Tanganyika (Tanzania???) wanapata faida ya utoaji Visa na Passport , kama Zanzibar ni Mshirika wa hii Tanzania ni faida gani imepata kwa muda wa miaka 47?
2. East African Community, ilipovunjika muawakilishi wetu alifanyiwa mazonge asihudhurie mkutano uliofanyika pale Nairobi. Mkutano huo ulikua ni wakugawana mapato kwa wakati huo tu Zanzibar ilipatiwa £ 1,32,000 kama sikosei.. Naomba mwenye rikodi aniandikie hapa ili Watanganyika wazione . Hizi pesa ndizo zile zilizokua zinatakiwa kila NCHI ifungue National Bank yake yaani ( Kenya , Uganda, Zanzibar na Tanganyika) . Muwakilishi kutoka Zanzibar hapa alikua ameshatiwa hambaroni na Serikali ya Tanganyika na Muwakilishi wa Tanganyika (nimemsahau jina) alisema pesa za Zanzibar ziingizwe kwenye Account ya Tanzania kwani tumeungana. Na aliikabizi barua ya Muungano FACK.
Kutoka siku hiyo U.Kingdom waliisaidia kila Nchi kufungua Nationala Bank yake na Tannganyika/ Tanzania ilifungua na Zanzibar ndio iliokua na pesa Nyingi kuliko Tanganyika. Jee Magao ya faida Zanzibar ilipewa kiasi gani? Haya sio yaanze kujadiliwa leo kama SAMIA SULUHU ANAVODAI... LAA haya yalikua yajadiliwe tokea 1965, Jee Zanzibar ikipiga hesabu pesa hizi hazitapita ile 50.4 billioni ya TENESCO?
3. Misaada inayopatikana kwa jina la Muungano, hapa kuna pesa, scholarship na pesa za mikopo kutoka Mataifa ya NJE kwani Tanganyika kila siku ni Maskini.Jee Zanzibar inafaidika kiasi gani? Ikiwa ni misaada Zanzibar inagaiwa 4.5 ya misaada lakini ikiwa ni deni Zanzibar hailipi 4.5 ya deni hilo na badala yake hulipa 50% ya Deni. Wakati wanaofaidika ni Tanganyika.
Mimi nawaaambia Serikali ya Tanganyika kama wanataka walipwe deni hili la umeme wangevunja Muungano kwanza au kuwa na Serikali TATU vyenginevo Wazanzibari ni Wataalamu zaidi wakujua haki zao na watazidai. Jee Serikali ya Tanganyika itailipa Zanzibar fidia hiyo?
2008 Kulikua na Mmarekani alitaka kuanzisha umeme wa Juwa na alikuja na Project Proposala yake. Wakati ule Mansoor alikua Waziri wa Umeme kama munavojua ndugu Wazanzibari mtu yoyote anaetaka kuanzisha biashara ni lazima akaombe kibali Tanganyika. Sasa Watanganyika walivojua kwamba huyu Mmarekani anania yakuinyanyua Zanzibar kinishati walimzungusha na alikaa Zanzibar mwaka mzima. Hakukipata kibali cha Project yake ya Solar Energy.
Jee haya sio maonevu na kukandamizwa kiuchumi na Mkoloni Mweusi ? Jee kama Wazanzibari wangeachiwa kuanzisha umeme wa juwa si ingepungua kuitegemea hiyo Tenesco? Munatuchokoza mara hii tutafikishana mbali.
Kama ni kudaiwa Zanzibar haidaiwi billioni 50.4 na TENESCO , kwani ndio tupo kwenye Muungano huo wanaoutaka wao. Kuibeba Zanzibar na kuiwakilisha kwa Kheri na Shari. wakati wa madeni ya Zanzibar kuna Mikataba ya kibiashara, lakini ukija kwenye ugawaji wa ruzuku na mapato au Misaada inayopatiwa serikali ya Tanganyika kwa koti la Muungano hapa hakuna mikataba . bali kuna wewe KANCHI KADOGO TU utapata 0.5.
Sasa nakuja katika kupigiana hesabu ya madeni Tanganyika inadaiwa na Zanzibar tokea siku waliofanya MUUNGANO FACK 24.4.64. Siku ile ndio
Serikali ya Tanganyika ili ibiya Zanzibar mpaka hivi sasa naandika maoni haya basi serikali ya Tanganyika inaendelea kuidhulumu Zanzibar. Mfano. ABAAZANZIBAR katoa machache na mimi naongezea.
1. Balozi zote za Tanganyika (Tanzania???) wanapata faida ya utoaji Visa na Passport , kama Zanzibar ni Mshirika wa hii Tanzania ni faida gani imepata kwa muda wa miaka 47?
2. East African Community, ilipovunjika muawakilishi wetu alifanyiwa mazonge asihudhurie mkutano uliofanyika pale Nairobi. Mkutano huo ulikua ni wakugawana mapato kwa wakati huo tu Zanzibar ilipatiwa £ 1,32,000 kama sikosei.. Naomba mwenye rikodi aniandikie hapa ili Watanganyika wazione . Hizi pesa ndizo zile zilizokua zinatakiwa kila NCHI ifungue National Bank yake yaani ( Kenya , Uganda, Zanzibar na Tanganyika) . Muwakilishi kutoka Zanzibar hapa alikua ameshatiwa hambaroni na Serikali ya Tanganyika na Muwakilishi wa Tanganyika (nimemsahau jina) alisema pesa za Zanzibar ziingizwe kwenye Account ya Tanzania kwani tumeungana. Na aliikabizi barua ya Muungano FACK.
Kutoka siku hiyo U.Kingdom waliisaidia kila Nchi kufungua Nationala Bank yake na Tannganyika/ Tanzania ilifungua na Zanzibar ndio iliokua na pesa Nyingi kuliko Tanganyika. Jee Magao ya faida Zanzibar ilipewa kiasi gani? Haya sio yaanze kujadiliwa leo kama SAMIA SULUHU ANAVODAI... LAA haya yalikua yajadiliwe tokea 1965, Jee Zanzibar ikipiga hesabu pesa hizi hazitapita ile 50.4 billioni ya TENESCO?
3. Misaada inayopatikana kwa jina la Muungano, hapa kuna pesa, scholarship na pesa za mikopo kutoka Mataifa ya NJE kwani Tanganyika kila siku ni Maskini.Jee Zanzibar inafaidika kiasi gani? Ikiwa ni misaada Zanzibar inagaiwa 4.5 ya misaada lakini ikiwa ni deni Zanzibar hailipi 4.5 ya deni hilo na badala yake hulipa 50% ya Deni. Wakati wanaofaidika ni Tanganyika.
Mimi nawaaambia Serikali ya Tanganyika kama wanataka walipwe deni hili la umeme wangevunja Muungano kwanza au kuwa na Serikali TATU vyenginevo Wazanzibari ni Wataalamu zaidi wakujua haki zao na watazidai. Jee Serikali ya Tanganyika itailipa Zanzibar fidia hiyo?
2008 Kulikua na Mmarekani alitaka kuanzisha umeme wa Juwa na alikuja na Project Proposala yake. Wakati ule Mansoor alikua Waziri wa Umeme kama munavojua ndugu Wazanzibari mtu yoyote anaetaka kuanzisha biashara ni lazima akaombe kibali Tanganyika. Sasa Watanganyika walivojua kwamba huyu Mmarekani anania yakuinyanyua Zanzibar kinishati walimzungusha na alikaa Zanzibar mwaka mzima. Hakukipata kibali cha Project yake ya Solar Energy.
Jee haya sio maonevu na kukandamizwa kiuchumi na Mkoloni Mweusi ? Jee kama Wazanzibari wangeachiwa kuanzisha umeme wa juwa si ingepungua kuitegemea hiyo Tenesco? Munatuchokoza mara hii tutafikishana mbali.