mchakavumlasana
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 389
- 212
hivi hawa tanesco wanapokata umeme toka saa nne asubuhi hadi saa tatu hii wana maana gani? Bila taatifa, ukiwapigia majibu ya hovyo..... Kazi za watu zimesimama na tarehe mbaya hizi wanakera sana