Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,387
- 3,575
Siku ya Tano Leo Niko gizani,remote ya luku aina ya EDMI inayoanzia namba 43 haipokei token yoyote,nmeenda ofisini kwao zaidi ya mara 4 wananipa token change lakin wapi!mara ya mwisho wamenipa case namba wakidai watamtuma fundi, fundi amekuja Leo,maelezo anayotoa Sasa!eti hakuambiwa kuwa tatizo ni hilo, yeye kaambiwa Kuna nguzo imeanguka Kwa hiyo hawezi kushughulikia Hilo labda arudi ofisini akachukue token key change ndiyo atakuja sasa!
Baada ya kujibiwa hivyo mi nikarudi ofisini kwao Tena nikakutanishwa na muhasibu, nikamuelezea tatizo langu lote na hatua nilizopitia huku nikimuonesha Yale matoken key change Yao.
Mhasibu akasema Sasa nimpigie yule fundi wao simu nimwambie apande kwenye nguzo akiwa juu ya nguzo ampigie Muhasibu Ili amwambie nini cha kufanya😁, nikampigia yule fundi wao akawa hapatikani😄, nikabaki nimeduwaa sielewi Cha kufanya
Naamini Kuna wataalamu wa hizi meter humu nishaurini nifanye Nini Ili nipate mwanga Tena?!!!NMEKWAMA.
UKIINGIZA TOKEN INAJIBU 'no, no, no'.
TANESCO
Baada ya kujibiwa hivyo mi nikarudi ofisini kwao Tena nikakutanishwa na muhasibu, nikamuelezea tatizo langu lote na hatua nilizopitia huku nikimuonesha Yale matoken key change Yao.
Mhasibu akasema Sasa nimpigie yule fundi wao simu nimwambie apande kwenye nguzo akiwa juu ya nguzo ampigie Muhasibu Ili amwambie nini cha kufanya😁, nikampigia yule fundi wao akawa hapatikani😄, nikabaki nimeduwaa sielewi Cha kufanya
Naamini Kuna wataalamu wa hizi meter humu nishaurini nifanye Nini Ili nipate mwanga Tena?!!!NMEKWAMA.
UKIINGIZA TOKEN INAJIBU 'no, no, no'.
TANESCO