TANESCO: Mita za umeme za zamani mwisho kutumika tarehe 25 Oktoba 2023

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,313
Hii ndiyo taarifa rasmi ya TANESCO :

"Maboresho ya mita za luku zinazoanza na 04 na 05

Mita hizi hazitaweza kufanya manunuzi ya umeme kuanzia tarehe 25 Oktoba 2023.

Lengo La Maboresho

Shirika linabadili Mita hizi kwani ni toleo la zamani na tunatarajia kua na mabadiliko ya kimfumo hivi karibuni hivyo mita hizi hazitaendana na mabadiliko hayo.

Wateja wote wenye Mita tajwa wanatakiwa kutoa taarifa kwa kupiga simu namba 0748 550 000 na kwa kutuma ujumbe wa WhatsApp namba 0758 346 869

Shirika linaomba wateja kutoa ushirikiano katika kipindi chote cha zoezi hili"


tanesco_official_page-20231007-0001.jpg
 
Tanesco mambo ya kununua luku then urudi nyumbani kujaza kwenye mita ni ya kizamani.
Tengenezeni mfumo tununue kwenye app na tengenezeni mfumo wa vocha kuanzia sh 500,1000,2000,5000,10000,50000 hadi laki moja ukiweka tu vocha kwenye simu umeme unawaka automatic
 
Huu ni uonevu. Ni mtu ameleta biashara kama Dawasa na mamlaka nyingine za maji zilivyoondoa Mita nzuri za zamani na kutuletea mita za hovyo zinazoharibuka kila siku. Tena unaweza kuta Mita ya maji imesimama haisomi wakati maji unatumia. Muda wake wa kuamka ukifika inaamka tena inaanza kusoma. Yaani mambo ya hovyo hovyo tu. Nahisi inawezakuwa ni biashara ya mtu mkubwa. Kama ni kubadili waende taratibu kila Kata na mtaa kwa taarifa kwa wananchi na wabadili taratibu maana umeme watu watanunuaje? Na units ambazo zitakuwa hazijaisha zitafanywaje? Au waseme tununue umeme wa kutosha mpaka waje kubadili? Yaani ni mateso kwa wananchi.
 
Hii ndiyo taarifa rasmi ya TANESCO :

"Maboresho ya mita za luku zinazoanza na 04 na 05

Mita hizi hazitaweza kufanya manunuzi ya umeme kuanzia tarehe 25 Oktoba 2023.

Lengo La Maboresho

Shirika linabadili Mita hizi kwani ni toleo la zamani na tunatarajia kua na mabadiliko ya kimfumo hivi karibuni hivyo mita hizi hazitaendana na mabadiliko hayo.

Wateja wote wenye Mita tajwa wanatakiwa kutoa taarifa kwa kupiga simu namba 0748 550 000 na kwa kutuma ujumbe wa WhatsApp namba 0758 346 869

Shirika linaomba wateja kutoa ushirikiano katika kipindi chote cha zoezi hili"


View attachment 2774180
Yaani shirika halina database ya wateja gani wanatumia aina gani ya mita hadi leo?
 
Huu ni uonevu. Ni mtu ameleta biashara kama Dawasa na mamlaka nyingine za maji zilivyoondoa Mita nzuri za zamani na kutuletea mita za hovyo zinazoharibuka kila siku. Tena unaweza kuta Mita ya maji imesimama haisomi wakati maji unatumia. Muda wake wa kuamka ukifika inaamka tena inaanza kusoma. Yaani mambo ya hovyo hovyo tu. Nahisi inawezakuwa ni biashara ya mtu mkubwa. Kama ni kubadili waende taratibu kila Kata na mtaa kwa taarifa kwa wananchi na wabadili taratibu maana umeme watu watanunuaje? Na units ambazo zitakuwa hazijaisha zitafanywaje? Au waseme tununue umeme wa kutosha mpaka waje kubadili? Yaani ni mateso kwa wananchi.
Kwa hyo mnaamuaje,
 
Yanini...? Kwani enzi hizo hizi mita mpya awakuziona...? Hadi wakanunua ma second hand. Harafu wanakuja kuziondoa zote wanaleta nyingine Kwa utajiri Gani tuliokua nao sisi
Mita za LUKU zimeletwa ili kuthibiti wizi wa umeme, hata hivyo zina ukomo wa matumizi kutokana mabadiliko ya teknolojia.
Hata hizi za sasa zitabadirishwa ili kuendana na wakati
 
Hii ndiyo taarifa rasmi ya TANESCO :

"Maboresho ya mita za luku zinazoanza na 04 na 05

Mita hizi hazitaweza kufanya manunuzi ya umeme kuanzia tarehe 25 Oktoba 2023.

Lengo La Maboresho

Shirika linabadili Mita hizi kwani ni toleo la zamani na tunatarajia kua na mabadiliko ya kimfumo hivi karibuni hivyo mita hizi hazitaendana na mabadiliko hayo.

Wateja wote wenye Mita tajwa wanatakiwa kutoa taarifa kwa kupiga simu namba 0748 550 000 na kwa kutuma ujumbe wa WhatsApp namba 0758 346 869

Shirika linaomba wateja kutoa ushirikiano katika kipindi chote cha zoezi hili"


View attachment 2774180
Ndugu yangu ana mita ya waya analogue
 
Hii ndiyo taarifa rasmi ya TANESCO :

"Maboresho ya mita za luku zinazoanza na 04 na 05

Mita hizi hazitaweza kufanya manunuzi ya umeme kuanzia tarehe 25 Oktoba 2023.

Lengo La Maboresho

Shirika linabadili Mita hizi kwani ni toleo la zamani na tunatarajia kua na mabadiliko ya kimfumo hivi karibuni hivyo mita hizi hazitaendana na mabadiliko hayo.

Wateja wote wenye Mita tajwa wanatakiwa kutoa taarifa kwa kupiga simu namba 0748 550 000 na kwa kutuma ujumbe wa WhatsApp namba 0758 346 869

Shirika linaomba wateja kutoa ushirikiano katika kipindi chote cha zoezi hili"


View attachment 2774180
hizi mita ni za luku au?
 
Huu ni uonevu. Ni mtu ameleta biashara kama Dawasa na mamlaka nyingine za maji zilivyoondoa Mita nzuri za zamani na kutuletea mita za hovyo zinazoharibuka kila siku. Tena unaweza kuta Mita ya maji imesimama haisomi wakati maji unatumia. Muda wake wa kuamka ukifika inaamka tena inaanza kusoma. Yaani mambo ya hovyo hovyo tu. Nahisi inawezakuwa ni biashara ya mtu mkubwa. Kama ni kubadili waende taratibu kila Kata na mtaa kwa taarifa kwa wananchi na wabadili taratibu maana umeme watu watanunuaje? Na units ambazo zitakuwa hazijaisha zitafanywaje? Au waseme tununue umeme wa kutosha mpaka waje kubadili? Yaani ni mateso kwa wananchi.
Jitu la hovyo lina dislike comment yangu. Hawa ndiyo machawa wa wapigaji. Inakuwaje Shirika la hudumà muhimu kama umeme litake mwananchi apige simu wakati hizo meter wanazifahamu? Ni swala la kutangaza tu maeneo na tarehe za kubadilisha hizo meter ili wahusika wasubiri majumbani kusubiri zoezi. Simple as that.
 
Back
Top Bottom