Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,743
- 9,878
Kwa wakazi wa DSM. Siku ya jana umeme ulikatika kutwa nzima kuanzia usiku wa siku hiyo ya jana (Line ya Ubungo)
Ni hayo tu, 120 kg za Beef ziliteketea hivi hivi nikiwa naziona. Refrigerator yangu haina uwezo wa kutunza baridi kwa masaa zaidi ya matano. Ni kubwa sana ila la kizamani, la Mjerumani
2025 nitavunja taya la mama watoto ikitokea akafanya makosa ya kuwapigia kura viongozi wa kijani
Ni hayo tu, 120 kg za Beef ziliteketea hivi hivi nikiwa naziona. Refrigerator yangu haina uwezo wa kutunza baridi kwa masaa zaidi ya matano. Ni kubwa sana ila la kizamani, la Mjerumani
2025 nitavunja taya la mama watoto ikitokea akafanya makosa ya kuwapigia kura viongozi wa kijani