Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,541
- 12,402
Nimesikiliza taarifa ya habari Clouds Fm, Afisa uhusiano wa Tanesco Babra Masoud ametangaza kwamba wote wanaoihujumu Tanesco kwa kuiibia umeme wajisarimishe ndani ya wiki 2 na kwamba kwa wale wenye mademi wakalipe ndani ya muda huo yaani wiki 2 na kwamba kuna sheria ambayo inawaruhusu wao kupiga mnada nyumba ya mteja ikiwa watakuwa wamelimbikiza deni!
Swali:
kama hiyo sheria ilikuwepo nini walichokuwa wanasubiri maana sijawahi kusikia wamemwajibisha hata mteja mmoja hasa wateja sugu zikiwepo taasisi za serikali na mashirika mengine!
My take:
Wanaleta Propaganda na zaidi hakuna kipya chenye mlengo kulikwamua shirika hilo kutoka kwenye dimbwi la tope la utendaji wa mbovu na wa kimazoea.
Swali:
kama hiyo sheria ilikuwepo nini walichokuwa wanasubiri maana sijawahi kusikia wamemwajibisha hata mteja mmoja hasa wateja sugu zikiwepo taasisi za serikali na mashirika mengine!
My take:
Wanaleta Propaganda na zaidi hakuna kipya chenye mlengo kulikwamua shirika hilo kutoka kwenye dimbwi la tope la utendaji wa mbovu na wa kimazoea.