Stevemike
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 117
- 15
Nadhani kila mtanzania anakumbuka mvutano uliokuwepo kati ya Askofu Kakobe na Tanesco kuhusu upitishwaji wa mradi mkubwa wa umeme ktk eneo la kanisa linaloongozwa na askofu Kakobe. Kanisa liligoma lakini serikali ilitumia lazima kidogo. Kuna tetesi kuwa kakobe ameshauri Tanesco kwenda kuomba msamaha kanisani kwake vinginevyo tatizo la umeme halitakwisha! Sina uhakika na tetesi hiyo lakini. Je, hii ndiyo inayoweza kuwa chanzo cha tatizo la umeme hapa Tanzania kwa sasa?