Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hayo yamesemwa na Mkama kwenye mkutano wa wafanyakazi wa Tanesco wa Pwani na Dare es salaam uliofanyika ubungo kwenye makao makuu ya Tanesco. Alisema zanzibar ndio mdaiwa sugu hadi mei mwaka jana ilikuwa inadaiwa 56.3 bilion,na alibainisha kuwa Zanzibar licha ya kutoguswa na mgao wateja wake wanalipa fedha kidogo ukilinga nisha na fedha wanayolipa wateja wa Tanzania bara.
Sourece: mwananchi . Tr 12/03/2011
Sourece: mwananchi . Tr 12/03/2011