Tanesco inaidai Serikali ya mapinduzi Zanzibar tsh. 56.3 billion

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Hayo yamesemwa na Mkama kwenye mkutano wa wafanyakazi wa Tanesco wa Pwani na Dare es salaam uliofanyika ubungo kwenye makao makuu ya Tanesco. Alisema zanzibar ndio mdaiwa sugu hadi mei mwaka jana ilikuwa inadaiwa 56.3 bilion,na alibainisha kuwa Zanzibar licha ya kutoguswa na mgao wateja wake wanalipa fedha kidogo ukilinga nisha na fedha wanayolipa wateja wa Tanzania bara.
Sourece: mwananchi . Tr 12/03/2011
 
Hayo yamesemwa na Mkama kwenye mkutano wa wafanyakazi wa Tanesco wa Pwani na Dare es salaam uliofanyika ubungo kwenye makao makuu ya Tanesco. Alisema zanzibar ndio mdaiwa sugu hadi mei mwaka jana ilikuwa inadaiwa 56.3 bilion,na alibainisha kuwa Zanzibar licha ya kutoguswa na mgao wateja wake wanalipa fedha kidogo ukilinga nisha na fedha wanayolipa wateja wa Tanzania bara.
Sourece: mwananchi . Tr 12/03/2011
Muungano lazima ulindwe kwa gharama yoyote , na mojawapo inaweza kuwa ni hiyo ya kupunguza bei za umeme . Upande mwingine shirika la umeme znz ndilo linalouziwa umeme na Tanesco na lenyewe lina jukumu la kugawa bidhaa hii kwa wananchi wa znz , hivyo basi bei ya bidhaa zake inategemea na SMZ inachukua juhudi zipi kupunguza makali kwa wananchi swake. .......
 
Muungano lazima ulindwe kwa gharama yoyote , na mojawapo inaweza kuwa ni hiyo ya kupunguza bei za umeme . Upande mwingine shirika la umeme znz ndilo linalouziwa umeme na Tanesco na lenyewe lina jukumu la kugawa bidhaa hii kwa wananchi wa znz , hivyo basi bei ya bidhaa zake inategemea na SMZ inachukua juhudi zipi kupunguza makali kwa wananchi swake. .......

jukumu lenyewe ndio kutolipa deni?
 
Back
Top Bottom